Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Sasa haya maneno naambiwa mimi au mashabiki wa Arsenal ?muacheni bhana, mbna dingi yupo poa tu, tatzo anaoshindana nao ni shida.
Ok , kwahiyo Arsenal lengo lao siyo makombe , kumbe ni hela ! Basi nawapa pole mashabiki wa timu hii .Mzee hawezi toka kirahisi mana anawaingizia pesa nzuri mabosi wake
Akafie mbele huko , timu tangu napata akili haina hata kombe la ndondo !Wamuondoe aende wapi?
FA two years consecutively bado no kombe? ndaga fijoAkafie mbele huko , timu tangu napata akili haina hata kombe la ndondo !
Ha! Ha! Ha ! Ndondo cup !FA two years consecutively bado no kombe? ndaga fijo
Kumbe umepata akili 2005? Ndio maana huwezi kuacha lawama kwa mzee. Hata hivyo recently tu hapa alibeba ndoo za FA.Akafie mbele huko , timu tangu napata akili haina hata kombe la ndondo !
Kocha huyo mkongwe na mwenye GUNDU la kiwango cha kutisha , ametakiwa kutimuliwa na mashabiki wa timu hiyo . Hii ni baada ya kuponea tundu la sindano kwenye game dhidi ya PSG .
Shabiki mmoja aliandika kwenye ukurasa wake wa TWITTER akisema " uhamisho mzuri zaidi unaoweza kufanywa na Arsenal ni kumuondoa Wenger "
Pole Mzee Wangu , hata kama uzee ni dawa lakini dawa zingine ni chungu .
Kwahiyo ndio basi hamtaki tena ?Kumbe umepata akili 2005? Ndio maana huwezi kuacha lawama kwa mzee. Hata hivyo recently tu hapa alibeba ndoo za FA.
Huyu the Special one kawaharibia pesa yao yote waliyokusanya kwa kununua eti "Star" Pogba. Pogba hata si bora wangenunua SamattaSi bora arsenal? Man utd wanamtimua lini the special one?
Tuliuliza humu kuhusu huo ustaa wa Pogba , tuliambulia matusi .Huyu the Special one kawaharibia pesa yao yote waliyokusanya kwa kununua eti "Star" Pogba. Pogba hata si bora wangenunua Samatta
makombe machache timu kibao natamani asaini mkataba wa miaka miwili mpaka 2020 ndo astaafuAkafie mbele huko , timu tangu napata akili haina hata kombe la ndondo !
wewe lazima upo ile timu ya washamba,achana na arsenal mkuu,ile ni pilipili usioila...Akafie mbele huko , timu tangu napata akili haina hata kombe la ndondo !
Hiyo timu ya washamba ndio ipi ?wewe lazima upo ile timu ya washamba,achana na arsenal mkuu,ile ni pilipili usioila...