Waliamshana usiku wa manane kulia lia Kenya πππππ€£ π€£ Ni kama ni sisi ndo tumepoteza wabunge, viongozi na makurugenzi wa makampuni kwa "matatizo ya kupumua"
View attachment 1496065
Uzalendo wa kijinga huombona naona uzi waswahili wamejaza povuu dah!!! aiseee....[emoji23] kenyatta ongeza lockdown! wazalendo tuko nyuma yakoo!
Best coment from walking deadHaha wanaitwa mabongolala
Budaa apa c Kibera ujueWaliamshana usiku wa manane kulia lia Kenya ππππ
Haikosi wanalala chumba kimoja Kila mtu na wake..Hawa ni wazee wa Tigoπ Magonjwa Mtambuka lwiva Mkikuyu- Akili timamu Bishop Hiluka Mbolabilika MOTOCHINI
Jisemee peke yako. Sio wote tunajiona duni, unaelewa?Kenya hata wakipigwa na Corona kiasi gani, hata kuwe na wagonjwa 2mil bado hatuwezi kufikia maendeleo yao ya ki uchumi
Ni Dark est Sluum ππBudaa apa c Kibera ujue
uko ulipo pataja sjui nn sluum tz hakuna sehem inaitwa ivyo myb ni slum mpya apo kunyaland plz endelea kutangaza wazungu waje kushangaππNi Dark est Sluum ππ
Dark est Sluum ndio Administrative Capital ya Tz Yani slum City.uko ulipo pataja sjui nn sluum tz hakuna sehem inaitwa ivyo myb ni slum mpya apo kunyaland plz endelea kutangaza wazungu waje kushangaππ
bongo hatukai watu500 kwe block1 kama kunyaland mindyouπ€π€
kwani we hujui slum city?Dark est Sluum ndio Administrative Capital ya Tz Yani slum City.
Dar es Slum πkwani we hujui slum city?
wadau em msaidieni huyu anaulizia slum cityπππ
usiwe mbuni kuficha kichwa mchangani wakati umebon'goaDar es Slum π
Gazeti moja liliandika kwa kejeli Dark est Sluum juu ya mgao wa umeme Dar es salaam aka Dar is sluum... I am just but a messenger.usiwe mbuni kuficha kichwa mchangani wakati umebon'goa
sahihi ni DAR ES SALAAM aka bandari salama
slum city ipo 1 tu east africa nzima nayo ni.......ππ
bila shaka itakua magazeti from kunyaπππGazeti moja liliandika kwa kejeli Dark est Sluum juu ya mgao wa umeme Dar es salaam aka Dar is sluum... I am just but a messenger.
Ilikuwa international report on scarcity of electricity and the high presence of informal settlements in Dar is Sluum.bila shaka itakua magazeti from kunyaπππ
Kwa hiyo unasemaje? Orodhesha hapa hayo maendeleo ya kiuchumiKenya hata wakipigwa na Corona kiasi gani, hata kuwe na wagonjwa 2mil bado hatuwezi kufikia maendeleo yao ya ki uchumi
mkuu,mbona comment yangu inajitosheleza kabisa,nimeshasema ninachosema.kuhusu maendeleo yao ya ki uchumi mkuu mbona huitaji hata kuorodheshewa tazama hata thamani ya pesa yaoKwa hiyo unasemaje? Orodhesha hapa hayo maendeleo ya kiuchumi
Somo la kuukatsa au kuwakataa mabeberu wakenya hawafundishwi mashuleni mwaoMwishowe hawa jamaa wameamua kunyoosha mikono na kuamua kufungua kila kitu ingawa virusi vya corona vinaendelea kuwagonga. Eti sasa ndio wanaanza kusema huu ugonjwa upo kwa muda mrefu ujao, ha ha ha. Tuliwaambia wakajidai kubisha na kizungu chao cha kuombea maji.
Thamani ya pesa siyo maendeleo..orodhesha hapa tangible things ..tupatie orodha hapa ya maendeleo...lakini usituletee hapa maghorofa ya Nairobi, ukifanya hivyo tuletee pia na slums za kibera..usituletee hoja ya kuzungumza English kwani hata Malawii wanazungumza vizuri English...tuletee hapa tofauti Kati ya maisha kimaendeleo Kati ya Mkenya was kawaida na Mtanzania wa Kawaida...utuambie pia if the accumulated wealth created by Kenya's companies does trickle down to alleviate poverty to normal Kenyans...usituletee hapa barabara nzuri za lami pale Nairobi...utueleze pia Kama barabara hizo ziko pia vijijini Kama Turkana na kadhalika..mkuu,mbona comment yangu inajitosheleza kabisa,nimeshasema ninachosema.kuhusu maendeleo yao ya ki uchumi mkuu mbona huitaji hata kuorodheshewa tazama hata thamani ya pesa yao
Thamani ya pesa siyo maendeleo..orodhesha hapa tangible things ..tupatie orodha hapa ya maendeleo...lakini usituletee hapa maghorofa ya Nairobi, ukifanya hivyo tuletee pia na slums za kibera..usituletee hoja ya kuzungumza English kwani hata Malawii wanazungumza vizuri English...tuletee hapa tofauti Kati ya maisha kimaendeleo Kati ya Mkenya was kawaida na Mtanzania wa Kawaida...utuambie pia if the accumulated wealth created by Kenya's companies does trickle down to alleviate poverty to normal Kenyans...usituletee hapa barabara nzuri za lami pale Nairobi...utueleze pia Kama barabara hizo ziko pia vijijini Kama Turkana na kadhalika..