cutelove
JF-Expert Member
- Oct 3, 2017
- 3,448
- 7,972
Moja wa visa vilivyoripotiwa leo na wizara ya afya Kenya kwa SAA 24 zilizopita ambapo kwa upande wa kurya East kumeripotiwa visa viwili
Akiongea na majirani na familia yake Mwita Mwikwabe amedai alikuwa amesafiri Mwanza wiki mbili zilizopita na hivyo aliambukizwa huo ugonjwa akiwa Mwanza Tanzania
My take,:sasa watu wataogopa kuja Tanzania,maana kila maambukizi alikuwa na historia ya kusafiri Tanzania au ametokea Tanzania
Sent using Jamii Forums mobile app
Akiongea na majirani na familia yake Mwita Mwikwabe amedai alikuwa amesafiri Mwanza wiki mbili zilizopita na hivyo aliambukizwa huo ugonjwa akiwa Mwanza Tanzania
My take,:sasa watu wataogopa kuja Tanzania,maana kila maambukizi alikuwa na historia ya kusafiri Tanzania au ametokea Tanzania
Sent using Jamii Forums mobile app