Akamatwe kwa uzururaji, arudishwe bungeni Dodoma kwa pinguAkiongea na majirani na familia yake Mwita Mwikwabe amedai alikuwa amesafiri Mwanza wiki mbili zilizopita na hivyo aliambukizwa huo ugonjwa akiwa Mwanza Tanzania
Akawaambukize wengine? Mbona kama akili zimechanganywa na mtindi wa azam au tui la nazi?Akamatwe kwa uzururaji, arudishwe bungeni Dodoma kwa pingu
Hakuna mbunge wa CCM bungeni anayeogopa kuambukiza au kuambukizwa. Aende akachape kazi aache kuzurura, vinginevyo ataamuriwa arudishe posho aliyochukuaAkawaambukize wengine? Mbona kama akili zimechanganywa na mtindi wa azam au tui la nazi?
Ni huyu huyu aliyetelekeza jimbo la ukonga?!au majina yamefanana?Moja wa visa vilivyoripotiwa leo na wizara ya afya Kenya kwa SAA 24 zilizopita ambapo kwa upande wa kurya East kumeripotiwa visa viwili
Akiongea na majirani na familia yake Mwita Mwikwabe amedai alikuwa amesafiri Mwanza wiki mbili zilizopita na hivyo aliambukizwa huo ugonjwa akiwa Mwanza Tanzania
My take,:sasa watu wataogopa kuja Tanzania,maana kila maambukizi alikuwa na historia ya kusafiri Tanzania au ametokea Tanzania
Sent using Jamii Forums mobile app
Hakuna mbunge wa CCM bungeni anayeogopa kuambukiza au kuambukizwa. Aende akachape kazi aache kuzurura, vinginevyo ataamuriwa arudishe posho aliyochukua
Majina yanafananaNi huyu huyu aliyetelekeza jimbo la ukonga?!au majina yamefanana?
"corona ipo tuchukue tahadhari"
Huyo jamaa n mzembe sana hachukui tahadhari yoyote hadi anaambukizwaMoja wa visa vilivyoripotiwa leo na wizara ya afya Kenya kwa SAA 24 zilizopita ambapo kwa upande wa kurya East kumeripotiwa visa viwili
Akiongea na majirani na familia yake Mwita Mwikwabe amedai alikuwa amesafiri Mwanza wiki mbili zilizopita na hivyo aliambukizwa huo ugonjwa akiwa Mwanza Tanzania
My take,:sasa watu wataogopa kuja Tanzania,maana kila maambukizi alikuwa na historia ya kusafiri Tanzania au ametokea Tanzania
Sent using Jamii Forums mobile app
ops!nilishajiandaa kwenda bar..basi ngoja tu nirudi home!!