Uchaguzi 2020 Mwita Waitara ajipanga kupambana na John Heche Tarime 2020

Uchaguzi 2020 Mwita Waitara ajipanga kupambana na John Heche Tarime 2020

Mwanahabari Huru

JF-Expert Member
Joined
Mar 9, 2015
Posts
14,242
Reaction score
34,903
Muasi Mwita Mwikabwe Waitara amejiapiza kwamba ni lazima kwa gharama yoyote amtoe John Heche katika nafasi ya ubunge.

Akizungumza na washirika wake kadhaa mbunge huyo aliyepachikwa ubunge wa Ukonga amesema kiu yake ni kuhakikisha anakuwa mbunge wa Tarime mwaka 2020.

Waitara amejisifu kwamba amehakikishiwa nafasi hiyo kwanza katika kupitia CCM kutokana na kile alichosema hakutakuwa na kura ya maoni CCM bali wakubwa wamehakikisha atakuwa hana mpinzani ndani ya chama hicho.Pili, Waitara amekiri katika uchaguzi huru hawezi kumshinda John Heche lakini tayari amehakikishiwa na *mtukufu* kwamba ameshatoa maagizo jimbo la Tarime lirudi CCM 2020

Waitara huku akinywa pombe katika bar maarufu ya Vegetable iliyoko Ukonga alikuwa akiongea kwa sauti huku akisikilizwa na watu kadhaa.Aliendelea kusema vita yake na John Heche ya muda mrefu sasa imefika mwisho na hatimaye ataibuka mshindi.Alisema hawezi kuwa na amani bila kulikalia jimbo la Tarime.

Kwa sasa tangu awaasi wananchi wa Ukonga na hatimaye kupachikwa Ubunge wa Ukonga Mwita Waitara amekuwa akilindwa na kikundi cha walinzi wapatao 6 popote anapoenda.
 
Kwa hiyo ana uhakika na maisha yake hadi 2020 hajui kama hapa katikati muumba anaweza kuchukua uhai wake?
 
Muasi Mwita Mwikabwe Waitara amejiapiza kwamba ni lazima kwa gharama yoyote amtoe John Heche katika nafasi ya ubunge.

Akizungumza na washirika wake kadhaa mbunge huyo aliyepachikwa ubunge wa Ukonga amesema kiu yake ni kuhakikisha anakuwa mbunge wa Tarime mwaka 2020.

Waitara amejisifu kwamba amehakikishiwa nafasi hiyo kwanza katika kupitia CCM kutokana na kile alichosema hakutakuwa na kura ya maoni CCM bali wakubwa wamehakikisha atakuwa hana mpinzani ndani ya chama hicho.Pili, Waitara amekiri katika uchaguzi huru hawezi kumshinda John Heche lakini tayari amehakikishiwa na *mtukufu* kwamba ameshatoa maagizo jimbo la Tarime lirudi CCM 2020

Waitara huku akinywa pombe katika bar maarufu ya Vegetable iliyoko Ukonga alikuwa akiongea kwa sauti huku akisikilizwa na watu kadhaa.Aliendelea kusema vita yake na John Heche ya muda mrefu sasa imefika mwisho na hatimaye ataibuka mshindi.Alisema hawezi kuwa na amani bila kulikalia jimbo la Tarime.

Kwa sasa tangu awaasi wananchi wa Ukonga na hatimaye kupachikwa Ubunge wa Ukonga Mwita Waitara amekuwa akilindwa na kikundi cha walinzi wapatao 6 popote anapoenda.
Mzee baba, taarifa hizo za kuhakikishiwa jimbo umezipata wapi?
 
Kwa hiyo ana uhakika na maisha yake hadi 2020 hajui kama hapa katikati muumba anaweza kuchukua uhai wake?
Watu wanao jitambua they create their own destiny walahi
Wewe kaa tu kama mwendawazimu kushikiwa akili na dj walahi
 
Swafiiii sana
Fyeeekelea mbali mi chadomo walahi
 
Hatumii akili yake sawasawa
Muasi Mwita Mwikabwe Waitara amejiapiza kwamba ni lazima kwa gharama yoyote amtoe John Heche katika nafasi ya ubunge.

Akizungumza na washirika wake kadhaa mbunge huyo aliyepachikwa ubunge wa Ukonga amesema kiu yake ni kuhakikisha anakuwa mbunge wa Tarime mwaka 2020.

Waitara amejisifu kwamba amehakikishiwa nafasi hiyo kwanza katika kupitia CCM kutokana na kile alichosema hakutakuwa na kura ya maoni CCM bali wakubwa wamehakikisha atakuwa hana mpinzani ndani ya chama hicho.Pili, Waitara amekiri katika uchaguzi huru hawezi kumshinda John Heche lakini tayari amehakikishiwa na *mtukufu* kwamba ameshatoa maagizo jimbo la Tarime lirudi CCM 2020

Waitara huku akinywa pombe katika bar maarufu ya Vegetable iliyoko Ukonga alikuwa akiongea kwa sauti huku akisikilizwa na watu kadhaa.Aliendelea kusema vita yake na John Heche ya muda mrefu sasa imefika mwisho na hatimaye ataibuka mshindi.Alisema hawezi kuwa na amani bila kulikalia jimbo la Tarime.

Kwa sasa tangu awaasi wananchi wa Ukonga na hatimaye kupachikwa Ubunge wa Ukonga Mwita Waitara amekuwa akilindwa na kikundi cha walinzi wapatao 6 popote anapoenda.
 
Baada ya kushindwa kuwaletea Maendeleo Ukonga anataka akaharibu tena Tarime.Ashughulikie kero ya Barabara Banana mpaka Frem kumi
 
Angejua kitakachoipata CCM kabla ya 2020 asingeropoka huo uharo wake.
kanywe gongo wewe, TARIME inarudi CCM 2020, Chagadema watabakuwa Na majimbo matatu tu huku bara ambayo ni Hai, Arumeru kwa Nasari, Na moja jipya.
 
Swafiiii sana
Fyeeekelea mbali mi chadomo walahi
Hivi kwa nini watu mnakuwa na roho mbaya kiasi hiki? Chadomo ndo nini sasa, inaonekana malezi yako siyo mazuri kabisa.
 
Mbeleko ya tume haitambeba tena Ukonga au ndivyo alivyopangiwa na maboss?
 
Back
Top Bottom