Pre GE2025 Mwita Waitara: John Heche ni mwanafunzi wangu kisiasa, hawezi nitisha uchaguzi Tarime

Pre GE2025 Mwita Waitara: John Heche ni mwanafunzi wangu kisiasa, hawezi nitisha uchaguzi Tarime

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Chachu Ombara

JF-Expert Member
Joined
Dec 11, 2012
Posts
6,067
Reaction score
10,938
Mbunge wa Jimbo la Tarime Vijijini, Mwita Waitara amesema haoni sababu ya kumhofia Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), John Heche iwapo atagombea nafasi ya Ubunge Jimboni humo kwasababu ana historia ya kumshinda kwenye chaguzi tangu wakiwa wote ndani ya chama kimoja.

Akizungumza na Jambo TV katika viwanja vya Bunge Jijini Dodoma Waitara amesema Heche ni mwanafunzi wake kisiasa hivyo hawezi kuwa tishio kwake.

 
Sio kwa kuhadithiwa kwa macho yangu nilimuona Moshi Bar kalewa mpaka kujitapikia, nahisi kwa waliemuona huko alipokuwa anakwenda itakuwa walikuta hata viuharo.

Huu jamaa ni mlevi aliekubuhu.
Anajiendekeza vitu vinavyomzidi nguvu kama zuzu.Aache ujingaujinga wake.Bloody kutapika kabisa!
 
Sio kwa kuhadithiwa kwa macho yangu nilimuona Moshi Bar kalewa mpaka kujitapikia, nahisi kwa waliemuona huko alipokuwa anakwenda itakuwa walikuta hata viuharo.

Huu jamaa ni mlevi aliekubuhu.
Akilewa mpaka anajikojolea 😄
Bora haendeshi boda maana makovu ya usoni na mguuni
Aliyapata

Ova
 
Waitara alikuwa analewa hadi anajikojolea kule banabana kwenye Bar nyingi za watu wa Musoma, alikuwa anajulikana kama kikojozi
 
Daah kapotea kabisa kwenye medani za Siasa za bongo hapo anatafuta sehemu ya kushika ataipata tu.
Jambo ambalo huwa hawa wahama vyama na kuhamia CCM hawalijui ni kwamba,anaowakuta huko humpokea kwa furaha na vicheko vya kinafiki lakini wanawachukia vibaya sana.Wanaona wanaenda kuchukua nafasi zao.Sasa waishi huko kwa akili nyingi sana.
 
Back
Top Bottom