Mwita Waitara: Kumekuwa na mzaha mzaha, hata Rais ametoa maagizo watu wanaibuka wanazungumza mambo yao

Hilo ndilo jambo litakalofanya wananchi waelewe, viongozi wajibu hoja za msingi na sio kubakia kusema tu kua ni upotoshaji
 
wewe ni waziri wa ujenzi mambo ya chanjo unayaelewa vizuri? Kuwa kiongozi sio garantii ya kwamba basi kila jambo unalijua.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…