Teh Teh Teh
Member
- Nov 13, 2009
- 41
- 9
Mwita Waitara Mwikwabe ameshinda kura za maoni za CHADEMA kwa kura nyingi dhidi ya Mbunge wa Sasa Charles Mwera, ambaye ni Mwenyekiti wa Halmashauri akimfatia. Nafasi ya tatu imeenda kwa John Heche.
CHADEMA imepeta sana TARIME kwani huyu jamaa anaweza kuvaa viatu na kuziba pengo la Chacha Wangwe.
Hongera sana MWita Mwikwabe.
Hongera saba CHADEMA.
CHADEMA imepeta sana TARIME kwani huyu jamaa anaweza kuvaa viatu na kuziba pengo la Chacha Wangwe.
Hongera sana MWita Mwikwabe.
Hongera saba CHADEMA.