Mwita ameniongoza pale udsm akiwa Rais wa DARUSO, na ameondoka akiwa na heshima yake kubwa sana miongoni mwa wanafunzi wa UDSM.
Mwita ni mpiganaji sana, toka aondoke Udsm hajawahi patikana mpigani kama Mwita. Kwa kweli Mwita ni mtu anayehitajika sana katika kipindi hiki ambacho taifa letu linapita. Ni mtu anayesimamia kile anachokiamini, hayumbishwi wala hababaishwi kwa kile anachokiamini, ni mjenzi mzuri wa hoja zisizoyumba. Ni mzoefu katika mapambano .Mwita ni muhimu kwa Tanzania ya leo.
nashukuru mwenzangu umeandika ukweli, uyu jamaa ni hopeless of all people, kipindi anagombea daruso tulimpigania sana hata akashinda akijitambulisha kua yeye ni mpiganaji wa kweli lakini alivyoingia daruso mama yangu, alikua ndio kiongozi bomu kuliko wote, ana jazba anadhan uongoz kila siku ni kutokusikiliza mamlaka za juu, mbishi, anataka kila analotaka yeye lifanyike hata kama muda si sahihi na haangalii mazingira ya kuropoka!
Nampa Hongera sana Mwita, hii ni moja ya siraha nzito kutoka CHADEMA. kila la kheri
Mie mwenyewe namfaham fika Mwita. The guy is good. Huwezi kumlinganisha na Bahati Tweve hata kidogo. Jamaa ni mzuri na mwenye msimamo.
Huyu jamaa hamna kitu ni msaliti.namfahamu vizuri alikuwa rais wa daruso.alitufanya tusilale kulinda kura ,lakini alivyopata ndiye kiongozi aliyeboronga kuliko wote hafai hata kidogo.ni mbinafsi wa hali ya juu wala si mtetezi kama mnavyodai.poleni kwa kumshabikia mtu bila kumjua.muulize mtu yeyote aliyemaliza udsm miaka hiyo atakwambia.
MohamedSalum200,
SI KWELI, Nalikanusha hili ya Mwita kuwa msaliti. Udhaifu pekee aliokuwa nao ambao kwa mtazamo wangu ni udhaifu wa viongozi wengi wazuri au niuweke kama ulevi wa viongozi vijana ni: Kuwapa mimba wasichana hovyo hovyo katika kipindi chake. Na hata alipokuja Mwita mwingine (Magesa) udhaifu wake ukawa huu huu. Labda kama uongozi mbovu wa Mwita (Magesa) ndiyo unaousemea! Mwikabe was strong