Zero IQ
JF-Expert Member
- Dec 21, 2016
- 13,959
- 24,935
Kama nilivyoelezea mwite mdada yeyote unaemtaka humu Jf akiitika tu mfanooo Shunie akasema yes mr au yes mkuu basi Zama PM ukamalizane nae.
Yaani huo mwitikio ni kama Ruksa ya kuzama Pm yake ukiona kimya ujue No.
Mi namwita wangu Akiitika tu mjue niko nae PM namalizana Nae .
Jolie Jolie..
[emoji3] [emoji3] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji115]
Yaani huo mwitikio ni kama Ruksa ya kuzama Pm yake ukiona kimya ujue No.
Mi namwita wangu Akiitika tu mjue niko nae PM namalizana Nae .
Jolie Jolie..
[emoji3] [emoji3] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji115]