umesema unatoka wapi mkuu?Mambo ni safi ndio natoka Lecturer hapa
Sitaki kuamini kwamba hizo suruali zinavaliwa na mwanachuo akiwa kwenye eneo la chuo. Chuo cha st. Joseph dar es salaam pamoja na mapungufu yake waliweza kudhibiti uvaaji wa wanafunzi wake wavae kwa heshima. Sijui kule SUA maprofesa hawakuweza kuwalazimisha wa dent wavae magunia. Maana harakat za sua πππMambo yanaendelea kama kawaida ila tahadhari ni kubwa huingii darasani bila kunawa. Sema tu kuna dress code mpya, ukivaa suruali za kuchanika na modo haziruhusiwi kwa vile zina uhusiano sijui.
Lecturer ndo sehemu gani???Au ni hapo MUSOMA UTALII collage au SEBASTIAN KULOWA.ππππMambo ni safi ndio natoka Lecturer hapa
Lecturer ndo sehemu gani???Au ni hapo MUSOMA UTALII collage au SEBASTIAN KULOWA.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Nimekunywa maji tu sahiviKwani mlevi mmoja umekunywa nini kikakulewesha mapema hiii,??
Tumwombe Mungu,tuchukue tahadhari ili mambo yawe shwariWanachuo wote, wameambiwa waende shule ili tuone covid-19 kama itawaathiri sana ya kiufupi ni mbuzi wa kafara,
Wakikaa huko chuo wiki mbili tatu na hali ikawa poa basi wadogo zao wataruhusiwa kuendelea na masomo,
Poleni sana kwa kuwatoeni ninyi kama jaribio.