rugumye JF-Expert Member Joined Nov 1, 2010 Posts 561 Reaction score 179 Nov 4, 2010 #1 Jamani nisaidieni, mwizi wa kura za wananchi tena kwa mabomu wakati wa kuapishwa hushika nini mkononi? au wanamtania Mungu?
Jamani nisaidieni, mwizi wa kura za wananchi tena kwa mabomu wakati wa kuapishwa hushika nini mkononi? au wanamtania Mungu?
gillard JF-Expert Member Joined Oct 15, 2010 Posts 227 Reaction score 165 Nov 4, 2010 #2 Duh hii kali aise mwenyewe nimetafakari nimekosea jibu ngoja tusubiri tuone !
Ng'wanangwa JF-Expert Member Joined Aug 28, 2010 Posts 10,827 Reaction score 4,176 Nov 4, 2010 #3 gillard said: Duh hii kali aise mwenyewe nimetafakari nimekosea jibu ngoja tusubiri tuone ! Click to expand... Atapewa Biblia ya Mapepo ya Mama Rwakatare na Msahafu wa Shehe Yahaya na Shehe Sharif
gillard said: Duh hii kali aise mwenyewe nimetafakari nimekosea jibu ngoja tusubiri tuone ! Click to expand... Atapewa Biblia ya Mapepo ya Mama Rwakatare na Msahafu wa Shehe Yahaya na Shehe Sharif