officialBossmtoto
JF-Expert Member
- Jul 1, 2019
- 370
- 1,189
Nisaidieni utata huu. Je, ni sahihi pia kama mwizi akiiba halafu fedha ile akaiwekeza?
===
Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali nchini Kenya, Nancy Gathungu amependekeza watu wanaoiba fedha za umma wawekeze nchini humo ili kuchochea maendeleo, badala ya kuzificha nje ya nchi. Benki ya Dunia inakadiria kuwa TZS trilioni 6 huibwa kila mwaka na kupelekwa nje ya nchi.
===
Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali nchini Kenya, Nancy Gathungu amependekeza watu wanaoiba fedha za umma wawekeze nchini humo ili kuchochea maendeleo, badala ya kuzificha nje ya nchi. Benki ya Dunia inakadiria kuwa TZS trilioni 6 huibwa kila mwaka na kupelekwa nje ya nchi.