Shatrughan Singh
Senior Member
- Jan 31, 2017
- 113
- 84
Mwizi mmoja kwa jina la Mathew Stewart (32) amekamatwa huko Los Angeles baada ya kuingia kupitia dirishani kuvunja kioo na kuiba cake aliyopewa na girlfriend wake kwaajiri ya birthday, John Douglas (39) ambae ni mmiliki wa apartment hiyo alirudi nyumbani na kukuta dirisha la store limevinjwa kioo, baada ya kuchunguza aligundua cake yake aliyopewa jana yake na mchumba wake na kuila kidogo tu na kuibakiza haikuwepo.
Bwana John Douglas alipiga simu polisi, baada ya polisi kufika na kufanya upepelezi waligundua mwizi alikuwa amejisaidia haja kubwa kabla ya kuondoka na kusahau ku flash, polisi walichukua haja kubwa (ngumu) na kuipima unene wake kisha kumpima mwenye nyumba sehemu zake za uume na kuona zinalingana, ndipo walipomsihi amtaje huyo mtu nae kumtaja bwana Mathew Stewart, bwana Stewart baada ya kukamatwa alikili kuwa yeye ndiye mwizi wa cake.
Polisi waliwasihi kumaliza case yao kindugu na kuwaacha wayamalize.
Source CMBC news.
Bwana John Douglas alipiga simu polisi, baada ya polisi kufika na kufanya upepelezi waligundua mwizi alikuwa amejisaidia haja kubwa kabla ya kuondoka na kusahau ku flash, polisi walichukua haja kubwa (ngumu) na kuipima unene wake kisha kumpima mwenye nyumba sehemu zake za uume na kuona zinalingana, ndipo walipomsihi amtaje huyo mtu nae kumtaja bwana Mathew Stewart, bwana Stewart baada ya kukamatwa alikili kuwa yeye ndiye mwizi wa cake.
Polisi waliwasihi kumaliza case yao kindugu na kuwaacha wayamalize.
Source CMBC news.