mwakani naolewa
Senior Member
- Jul 25, 2024
- 148
- 426
Mwanamke mmoja kutoka Luis ville Marekani, Ricki Smith mwenye umri wa miaka 28 amekamatwa akitaka kuiba gari na kudai kuwa Kanye West ndiye aliyemtuma. Tukio hilo lilitokea Ijumaa huko mtaa wa North main street.
Smith sasa anakabiliwa na mashtaka ya kujaribu utekaji na wizi wa gari. Ameshikiliwa katika jela ya kaunti ya Vanderburgh kwa gharama ya dolla 10,000 na kusikilizwa kwa kesi hiyo ni Alhamisi Septemba 5.
========
A 28-year-old Kentucky woman, Ricki Smith, was arrested in Evansville after allegedly attempting to steal multiple vehicles.
Smith claimed that she was instructed to commit the thefts through telepathic communication with Ye, formerly known as Kanye West.
The incident took place on North Main Street, where Smith was seen trying to open car doors. She was removed from one car by a mother who was dropping her child off at daycare. Smith was arrested and taken to Vanderburgh County Jail after further investigation.
Source: Pubity
Smith sasa anakabiliwa na mashtaka ya kujaribu utekaji na wizi wa gari. Ameshikiliwa katika jela ya kaunti ya Vanderburgh kwa gharama ya dolla 10,000 na kusikilizwa kwa kesi hiyo ni Alhamisi Septemba 5.
A 28-year-old Kentucky woman, Ricki Smith, was arrested in Evansville after allegedly attempting to steal multiple vehicles.
Smith claimed that she was instructed to commit the thefts through telepathic communication with Ye, formerly known as Kanye West.
The incident took place on North Main Street, where Smith was seen trying to open car doors. She was removed from one car by a mother who was dropping her child off at daycare. Smith was arrested and taken to Vanderburgh County Jail after further investigation.
Source: Pubity