kwa wote waliosoma Kahororo Sekondari nadhani mtakua mnamkumbuka Mwl. Agricola-mtaalamu wa somo la Phyiscs, ni kwamba mwalimu wetu huyo anaumwa na yuko hapa Dar es salaam akipatiwa matibabu.
Kwa kifupi nimesikitishwa na afya ya mwalimu kuzolota: na ni vizuri kwa yeyote anayemfahamu especially wale tuliopitia pale Kahororo Sec na tuko hapa Dar tujitokeze tumpe kampani mwalimu wetu kwani anahitaji msaada wa hali na mali.
Kwasasa anapatikana Mikocheni B ila kila siku asubuhi anakuwa Ocean-road Hospital kwa ajili ya matibabu, mwenye kuitaji namba yake ya simu ni PM nikutumie.