Mwl.Nyerere:Kiongozi Asiyeweza Kuisimamia, Kuilinda na Kuitetea Katiba...Hatufai Kabisa.Je,yupo?

Mwl.Nyerere:Kiongozi Asiyeweza Kuisimamia, Kuilinda na Kuitetea Katiba...Hatufai Kabisa.Je,yupo?

1954tanu

JF-Expert Member
Joined
Jul 19, 2013
Posts
1,038
Reaction score
487
Mwl.Nyerere katika moja ya hotuba zake kwa umma anasema, "Kiongozi ambaye hawezi kuisimamia, kuifuata, kuitetea na kuitetea katiba ya nchi yetu hatufai kabisa. Aondoke akasimamie mashamba yake". Kwa kauli hii ni kwamba kiongozi wetu lazima awe anatawaliwaliwa na kuongozwa na katiba.

SWALI: Je! Tangu rais A.H. Mwinyi hadi J.Kikwete, Tanzania imewahi kuwa na rais anayetufaa?
 
unategemea mihujiza katika ili ndugu.
asilimia kubwa ya viongozi wa tanzania uchaguliwa na wajinga'
sasa watawezaje kuisimamia katiba na wakati ao wajinga walio wachagua awaijui hiyo katiba?
Epuka kuwa sehemu hiyo ndugu.
 
Hivi akipata madaraka kwa njia ya kukiuja katiba ataisimamiaje?ila wangekuwa wanachaguliwa kwa haki wangeweza kuilinda na kuitetea.
 
Back
Top Bottom