Roving Journalist
JF Roving Journalist
- Apr 18, 2017
- 3,984
- 13,760
Mwogeleaji wa Tanzania, Collins Philip Saliboko akiwa katika mazoezi makali kujiandaa na mchuano wa Michezo ya Jumuiya ya Madola Jijini Birmingham.
Collins, mwenye umri wa miaka 21, anaingia katika ushindani kesho Julai 29, 2022 katika ngwe ya mita 50 Butterfly.
Keshokutwa Collins ataingia tena kushindana mita 200 free style, na mwenzie Kyla Temba nae siku hiyo atashinda mita 50 free style.
Collins, mwenye umri wa miaka 21, anaingia katika ushindani kesho Julai 29, 2022 katika ngwe ya mita 50 Butterfly.
Keshokutwa Collins ataingia tena kushindana mita 200 free style, na mwenzie Kyla Temba nae siku hiyo atashinda mita 50 free style.