Mwombe 1000 uliyekaa naye seat moja kwenye bus

Mwombe 1000 uliyekaa naye seat moja kwenye bus

Washawasha

JF-Expert Member
Joined
Aug 7, 2006
Posts
16,717
Reaction score
13,176
Niko kwenye bus narudi zangu home mida hii na nitashuka manzese muda si mrefu,bus zima kimya nikaona ngoja nianze zogo,nikamwomba buku mrembo niliyekaa naye kiti kimoja,majibu aliyonipa ndio haya; taratibu we baba tuheshimiane,yaani we dume zima unaniomba mie mtoto wa kike buku!yaani nisuguliwe huko halafu nije nikupe buku tu hivihivi?
Bus zima wakaanza kunicheka,hebu na wewe mwombe buku abiria mwenzio halafu utuletee na majibu yake.
Nalog off
 
Back
Top Bottom