Mwonekano mpya wa JECHA na updates zake

maatope

JF-Expert Member
Joined
Sep 19, 2013
Posts
1,422
Reaction score
957

Lile gwiji la kusimamia chaguzi barani afrika mr Jecha S jecha limekuwa tipped kupata tuzo ya nobel baada ya kuwakosha wapenda amani duniani kwa kusimamia vyema uchaguzi wa zanzibar ulioweka rekodi kwa incumbant mheshimiwa Shein kupata 91 percent na hivyo kudhihirisha anavyopendwa kupita kiasi
na attach picha kwa mujibu wa gazeti la kibongo likionyesha muonekano mpaya wa gwiji hilo la uchaguzi linalomuamini Allah na ambalo linatenda haki siku zote
 
siku moja nilipotea njia nikaingia choo cha kike, wakati nataka ghafla kugeuza kurudi, dada mmoja aliniambia huku akiwa anavua nguo badala ya kuvaa, "kaka usirudi hii ni bahati yako".
Sikujua bahati gani
 
Hahaaaa, yaani bila aibu Mhariri anaruhusi gazeti lichapishwe, labda kesho wataomba samahani katka ukurasa wa mbele.
 
huyo mwandishi kaweka makusudi kwa sababu huyu na wenzake akina Mkapa na Kikwete walikuwa wanamtuma
 



Lile gwiji la kusimamia chaguzi barani afrika mr Jecha S jecha limekuwa tipped kupata tuzo ya nobel baada ya kuwakosha wapenda amani duniani kwa kusimamia vyema uchaguzi wa zanzibar ulioweka rekodi kwa incumbant mheshimiwa Shein kupata 91 percent na hivyo kudhihirisha anavyopendwa kupita kiasi
na attach picha kwa mujibu wa gazeti la kibongo likionyesha muonekano mpaya wa gwiji hilo la uchaguzi linalomuamini Allah na ambalo linatenda haki siku zote

=incumbent
 
Huyo ndio jecha mwenyewe Yule alikuwa zuga tu wewe uoni hadi vifaru vimefika Zanzibar jecha huyo
 
Hili litakuwa ni gazeti la Watukufu.
 
jecha balaa watu wanampenda magufuli kila sehemu wanataka kumuweka
 
Mnaomuonea bure Mh.Rais wa JMT,yeye kama Amiri Jeshi Mkuu wa Majeshi
ya ulinzi na usalama wa nchi mlitaka afanye nini?.
Katiba ya JMT tayari mlikwisha kuibadilisha zamani yeye akiudumu wizara ya Ujenzi,

leo hii mnaanza kumbambiza sura ya mtu mwingine ambaye na yeye ama kwa mapenzi yake
au kwa kushawishiwa na kikundi cha watu waolivunja katiba hapo awali kwa kisingizio cha mwafaka
mnakuwa hamtendei haki hata kidogo.

Suala la uchaguzi wa Zanzibar sio tu ulikuwa ni mtego bali ni mtihani mgumu ambao Mh. Rais ilikuwa
ni lazima kuuvuka,mambo mengine yatajulikana mbele ya safari.
Cha msingi ni maendeleo ya Watanzania wote,katika hili chama tawala kinabidi kijitahidi sana ili baadae isije
ikawaletea tatizo.

Kwa mtizamo wangu wa ndani: Ni bora ukawa na utawala wa kidikteta unaojali wananchi hasa wale maskini kuliko kuwa na utawala huo unaojali watu wachache matajiri au familia za karibu au zenye mahusiano na watawala.
 
Niulize swali, inaruhusiwa kutumia picha ya mtu lakini kwenye maelezo ukatumia jina lingine.
 
gazeti la Uhuru
 
Usijifanye mjuaji hiyo ni typing error,werevu tumeelewa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…