haina tja hii topc
Wazazi wake wapo wapi?
Haya bana! mtoto wa mwenzio ni mkubwa mwenzio.Kama sikosei lulu kesha fikisha umri wa zaidi ya miaka 18 hivyo wazazi wake wasilaumiwe kwa matendo yake. Katiba ya nchi inampa uhuru wa kujiamulia mambo yake. Wewe faidi tu kwa kuona hayo mapaja