Mwongozo kuhusu sheria ya fire

KAMUGY

Member
Joined
Jan 10, 2015
Posts
22
Reaction score
9
Habari wakuu naimani wazima wote,

Ningependa kupata mwongozo kuhusu sheria ya malipo ya fire kwenye nyumba. je malipo kwa ajili ya fire yanatakiwa yalipwe kwa kila chumba au ni kwa nyumba nzima. Hii inatokana na usumbufu tunaopata wafanya biashara wadogo wadogo mkoani manyara ambapo maafisa wa fire wamekuwa wakitoza malipo ya fire kwa kila frame ndani ya jengo moja, je hi ni sahihi kisheria au ni uonevu?.

Napenda kuwakilisha wakuu
 
Lipa tu ndugu..je ikitokea ajali ya moto utapenda fire lianze kutumika kwa mwingine kabla ya frame yako..vitu vingine ni kwa usalama wako
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…