Mwongozo kwa hakimu anayehukumu kwa kutozingatia sheria

Mwongozo kwa hakimu anayehukumu kwa kutozingatia sheria

Aman Ng'oma

JF-Expert Member
Joined
Nov 8, 2011
Posts
961
Reaction score
533
Imekuwa ni kawaida kwa baadhi ya makimu kuhukumu kesi kwa matakwa yao na kuacha kuzingatia weledi. Utakuta mshtakiwa anakuwa amefanya kosa ambalo angestahili afungwe labda tuseme miezi 3 au alipwe faini ya tsh 50000/= Lakini kutokana na kukosa uweledi hakimu anatoa hukumu ya mtuhumiwa kufungwa mwaka mmoja ndani. Mtuhumiwa akikata rufaa kupitia wakili wake, kesi hiyohiyo ikahukumiwa na hakimu mwingine anabatilisha hiyo kesi na kuonekana kuwa hakimu wa kwanza alikosea kuisoma ile hukumu na kwamba kwa mujibu wa kosa alilofanya mtuhumiwa, hukumu yake labda tusema ni faini tu ya tsh elfu 50 au kifungo cha miezi 3.

Nataka kujua ni nini hukumu inayotolewa na majaji wasiozingatia weledi?
 
hata sijaelewa unataka nini katika hii mada yako
sheria zipo wazi, kuna makosa ambayo hakimu huamua kifungo kiweje
na kuna makosa ambayo sheria haimpi hakimu uamuzi wa kuamua tofauti na ilivo katika sheria
tafuta minimum sentence act uisome
tafuta na kitabu cha jaji Chipeta kuhusu mahakimu.
jijengee utamaduni wa kusoma vitabu na sheria
 
hata sijaelewa unataka nini katika hii maa yako
sheria zipo wazi, kuna makosa ambayo hakimu huamua kifungo kiweje
na kuna makosa ambayo sheria haimpi hakimu uamuzi wa kuamua tofauti na ilivo katika sheria
tafuta minimum sentence act uisome
tafuta na kitabu cha jaji Chipeta kuhusu mahakimu.
jijengee utamaduni wa kusoma vitabu na sheria

anataka kujua kama anaweza kumfungulia hakimu mashtaka.
 
kama ni hivo anapaswa kufahamu majaji au mahakimu wana judicial immunity(kinga ya kimahakama)
anachopaswa kufanya ni kukata rufaa,ndio maana hakimu husema baada ya hukumu haki ya rufaa iko wazi.
hawezi kumfungulia mashtaka hakimu kwa kukiuka sheria tungekuwa na kesi nyingi sana za namna hiyo
na hao mahakimu wangeshinda kufuatilia kesi zao
Hata hivo wangependeleana pia,,
anataka kujua kama anaweza kumfungulia hakimu mashtaka.
 
kuna haja ya kufuatilia na kujua yupi hakufuata sheria, kwasbabu yawezekana kabisa kwamba hata baadhi ya hukumu wanzotoa zinakua na mushkeli
 
kama ni hivo anapaswa kufahamu majaji au mahakimu wana judicial immunity(kinga ya kimahakama)
anachopaswa kufanya ni kukata rufaa,ndio maana hakimu husema baada ya hukumu haki ya rufaa iko wazi.
hawezi kumfungulia mashtaka hakimu kwa kukiuka sheria tungekuwa na kesi nyingi sana za namna hiyo
na hao mahakimu wangeshinda kufuatilia kesi zao
Hata hivo wangependeleana pia,,
Furthermore, hawez kumshitaki hakimu as hakimu sababu hakimu anafanya maamuzi akiwa ndani ya kazi yake.
 
Ndio huyo tunaita judicial immunity but Kuna exception .
 
Back
Top Bottom