Mwongozo na msaada wakuu.

Mwongozo na msaada wakuu.

Rejonta

Member
Joined
Jun 1, 2013
Posts
44
Reaction score
16
naombeni mwongozo wakuu kwa anayefahamu vizuri juu ya hili,hivi mtu akimaliza diploma ya clinical officer anaweza kuunganisha kwenda kuchukua MD? au haiwezekani kabisa.
 
Back
Top Bottom