1. Aliyezinunua na kuzisambaza atalaaniwa kuanzia miguuni mpaka kichwani.
2. Kila atakayepokea na kuzitumia Pikipiki hizo laana ya Watanzania itakuwa juu yake, kwa hiyo mishe mishe zote atakazofanya kwa kutumia Pikipiki hizo zitajaa mikosi mitupu kuanzia atokapo, apitapo na aendapo.
Kwa hiyo, kutumia Pikipiki hizo ni kujisajili kwenye kitabu cha LAANA ya Watanzania.
Laana hii inatokana na uhujumu wa mali za umma uliosababisha kupatikana kwa Pikipiki hizo.
Baada ya kusema hayo, watu wote na waseme, AMINA.
2. Kila atakayepokea na kuzitumia Pikipiki hizo laana ya Watanzania itakuwa juu yake, kwa hiyo mishe mishe zote atakazofanya kwa kutumia Pikipiki hizo zitajaa mikosi mitupu kuanzia atokapo, apitapo na aendapo.
Kwa hiyo, kutumia Pikipiki hizo ni kujisajili kwenye kitabu cha LAANA ya Watanzania.
Laana hii inatokana na uhujumu wa mali za umma uliosababisha kupatikana kwa Pikipiki hizo.
Baada ya kusema hayo, watu wote na waseme, AMINA.