Mwongozo wa Namna ya Kuanzisha na Kuendesha Biashara ya Mini Supermarket

Duh hahahah najicheka koz siku mbili nyuma nilikua nawaza vitu halafu hii ni kama imenipa mwanga kwa upande fulani
 
Duh hahahah najicheka koz siku mbili nyuma nilikua nawaza vitu halafu hii ni kama imenipa mwanga kwa upande fulani
Hongera sana kwa kuwaza, usingewaza usingepata mwanga (dots are always connected backward). Besides,first creation starts with the mind
 
Kwenye upande wa kodi inaweza daiwa kias gani.. ??
hii ni lengu langu nlilonalo kichwan
Ila cjui lini nita ianza..
 
mimi nimepanga fast food restaurant , vifaaa nimenunua kama 12 million kutoka china sasa hivi natafuta sehemu ya kufungua naona labda ntapata 50000 kwa siku. mawazo yoyote yanakaribishwa
 
Wadau naombeni msaada wenu wa mawazo. Nahitaji kufungua mini market capital na location ninayo.

Tatizo ni how ya kupata good suppliers, system za mauzo,where to get shelves na vinginevyo sijawahi fanya hii biashara I am new to it.

Naomba kuwasilisha.
 
damax shelves ni laki 4 kwa double single laki 3, ukichukua nyingi wanakupunguzia ukitaka no yao njoo pm vitu unafata kitumbini na kariakoo , kuhusu system Don Clericuzio atakusaidia
 
damax shelves ni laki 4 kwa double single laki 3, ukichukua nyingi wanakupunguzia ukitaka no yao njoo pm vitu unafata kitumbini na kariakoo , kuhusu system Don Clericuzio atakusaidia

Hahaha, ujue hapo anahitaji kupata uzoefu kwa walioko field.

damax ukiweza jaribu kutembelea mtu mwenye kitu kama unachotaka kukifanya, omba uzoefu wake, ushauri kuhusu suppliers, system strength na changamoto zote.

Ukifanya visit kama store 5, haikosi mbili zitakupa majibu stahiki.
 
Huo mbichwa wako mkubwa nauaminia sana, hauniangushagi
 
Mbona sijaelewa hapa, naona hajataja location lakini mmeshasema vitu atachukulia kitumbini...vipi kama yupo Babati?
 
Hivi huwa zina faida wakuu? Ni jambo kuna mdau huwa analisema sema kuhusu kufungua najiwazia inafaida kweli ukizingatia viduka ni vingi kila baada ya mtaa kuna kiduka cha mangi cha basic needs...
 
Hivi huwa zina faida wakuu? Ni jambo kuna mdau huwa analisema sema kuhusu kufungua najiwazia inafaida kweli ukizingatia viduka ni vingi kila baada ya mtaa kuna kiduka cha mangi cha basic needs....
Location ndio kila kitu, ukibugi location imekula kwako. Shida/changamoto ipo kwa sababu ya uwepo wa viduka/maduka kila baada ya mita kumi. Hivyo ni lazima location yako iendane na "mini super market"!!!
 
Habari wadau? Ni matumaini yangu kwamba hamjambo kabisa.

Nafikiria kuanzisha mini super market hapa mjini. Sasa kikubwa nachoomba kwa wenye uzoefu na uelewa wanipe abcd kidogo kuhusu biashara hii.

mfano;

1. Changamoto zake na uzuri wake
2. Namna bora ya kuiendesha biashara hii
3. Suppliers wa bidhaa za biashara yenyewe n.k

4. Makadirio ya mtaji na ziada. (Ingawa tayari nimejipanga na 20M+)

Tafadhali naomba mawazo mazuri na ya kusaidiana ili tujenge taifa.

Asanteni sana.

~Jodeo ~
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…