#COVID19 Mwongozo wa Serikali kukabiliana na UVIKO katika Nyumba za Ibada

Usharika wangu wa nyumbani wanafanya hivyo tangu hii kitu imeanza.

Ila huu ugonjwa ni kipimo tosha Cha Imani.

Hapa Mungu anapata kazi rahisi sana kutambua wale waumini maslahi na halisi.

Yaani kipimo kidogo tu kwisha habari yake.
Ugonjwa huu umeleta wakati wa mpito, baada ya ugonjwa huu kupita kuna huduma nyingi zitakuwa zimebadilika hasa biashara zitakuwa za online, kutumia kadi au mfumo wa kutumia simu zaidi badala ya kubeba cash.
 
Hakuna barakoa wala Sanitize.
Pombe ikasafishe kwe madhabahu ya Bwana wakati tuna Damu ya Yesu
 
Kuna mtu anaingia kwenye nyumba ya Ibada na neti??

Ngoma ipo hapo ;

Unamuamini Mungu au kipande Cha kitambaa??

As simple as that.
Kwa hiyo uliambiwa kuwa unapoingia nyumba ya ibada, magonjwa yote yanabakia nje?
 
Inaonekana hata maandiko unayasoma lakini haelewi kilchokusudiwa. Habari ya kuwa kama watoto wadogo, unaelewa nini?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…