Mwongozo wa ufugaji wa kisasa wa Mbuzi wa nyama na maziwa

Samahani wakuu yawezekana nauliza swali la kijinga ila naombeni jibu hivi market ya mbuzi iko vipi kwa dar kama ukiwa unambuzi 200 waweza kuuza wapi waishe wote. Kwa ufahamu wangu nadhani itabidi upeleke vingunguti machinjioni.
 
Nahitaji mbuzi na kuku ambao ni kwa ajili ya Ufugaji, nikipata wale ambao ni kama (hybrid) nadhani ingekuwa pouwa,
Kwa ushauri na upatikanaji naomba tuwasiliane.

Asanteni.
 
Nahitaji mbuzi na kuku ambao ni kwa ajili ya Ufugaji, nikipata wale ambao ni kama (hybrid) nadhani ingekuwa pouwa,
Kwa ushauri na upatikanaji naomba tuwasiliane, asanten

Karibu Sayuni Poultry, Wafugaji na watotoleshaji wa vifaranga chotara. Tupo Dar - mbezi luis

Tuwasiliane zaidi 0712 057514
 
Nashindwa kuweka picha hapa, kuna banda la mbuzi ambalo nimeliona linakuwa na ngazi na mbuzi wanapanda na wanalala humo,ila nimeona sakafu ni ya mbao,swali langu sasa: je, vipi kuhusu usafi, kwa maana usiku watajisaidia haja ndogo/kubwa, hizi mbao si zitaoza?

Nalog off
 
Nashukuru sana wadau, nimeelimika kiasi cha kuweza kuwekeza.

Swali.

Mbuzi mmoja akiwa amefugwa vizuri, akichinjwa na ikachukuliwa nyama pekee, yaani fillet tupu zikaachwa sehemu nyingine za mbuzi kama kichwa, miguu, ngozi, utumbo nk. inawaza kubaki kilo ngapi?
 
Hivi punde nitaendelea kujibu na kuleta nondo mpya za namna ya ufugaji bora wa mbuzi, kaani mkao wa kuendelea kufyonza maarifa.
 
Naomba kuuiza kwa Mwanza wapi naweza pata hii mbegu ya mbuzi wanaozaa mapacha?

Mwenye kufahamu ani pm nawahitaji a.s.p

 
Naomba kuuiza kwa Mwanza wapi naweza pata hii mbegu ya mbuzi wanaozaa mapacha???
Mwenye kufahamu ani pm nawahitaji a.s.p

Ngamba,
Kwakweli kwa Mwanza sijajua wanakopatikana ila kama kwa Dodoma ni Hombolo, Bai na Kondoa, na kwa Morogoro wanapatikana Kilosa.
 
Ngamba,
Kwakweli kwa Mwanza sijajua wanakopatikana ila kama kwa Dodoma ni Hombolo, Bai na Kondoa, na kwa Morogoro wanapatikana Kilosa.

So inaweza kunigalimu sh. ngapi kuwasafirisha toka Dodoma hadi mwanza? Na Je, Mbuzi wa maziwa wanapatikana wapi, maana next year nataka anzisha mradi wa kufunga mbuzi wa maziwa na nyama.
 
so inaweza kunigalimu sh. ngapi kuwasafirisha toka dodoma hadi mwanza?? na Je Mbuzi wa maziwa wanapatikana wapi, maana next year nataka anzisha mradi wa kufunga mbuzi wa maziwa na nyama

Kwa kawaida gharama za usafiri inategemea na Idadi ya mbuzi unaowasafirisha, wakiwa wengi gharama huwa chini, na kinyume chake, lakini kwa awastani itakugharimu shilingi elfu 7 kwa kila mbuzi utakayemsafirisha.

Mbuzi wa maziwa wanapatikana kwenye vyuo vya mifugo na pale SUA
 

vyakula vya mbuzi ni vipi hasa ukiachana na pumba pamoja na nyasi!!
 
Mr Aman, kuna namna yoyote ya mimi kujiridhisha kwamba ni kweli hao mbuzi wanazaa pacha? na je kuna guarantee yoyote kwa hilo?
 
Ushauri wako ni mzuri sana ila kama ungeweza kutupa picha ya namba banda la kuku laweza kuwa ingefaa sana.
 

Makete kitulo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…