[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] jf bwana Kuna wana akili za wapi sijui daha [emoji23] [emoji23] [emoji23]Naashukuru Mmmeliona hilo, Ila muwaambie TANESCO hilo Tangazo lao linatuvuruga sana especialy picha ya huyo mdada watafute mtu mwengne.View attachment 637085
Tuma PM kwa JamiiForums, Mhariri.Naombeni taratibu za kuweka tangazo jf maan napiga namba zao hawapokei
Mimi pia naonaga sawa na demu kavaa dera hana msambwanda na leo nimpasha jamaa na nyumba yake ya Kihonda naona jamiiforums wameliona hilo.Ahsanteni kwa kutoa muongozo wa kutoa Matangazo ya Biashara.
Mimi nikiona Tangazo halijajitosheleza huwa nalikosoa hapo hapo, hasa mtu hataji sehemu alipo, inakera sana.
Labda halina picha....hahahahaNiliweka tangazo la jifunze kingereza kwa kiswahili,nikaweka namba,ninapopatikana lakin mmeyafuta nipen kosa laje
Soma vizuri thread juuNaombeni taratibu za kuweka tangazo jf maan napiga namba zao hawapokei
1.Tangazo moja linaweza kuchukua mudagani kurudiwa hasa kama halikusomwa?Ndugu wadau wa Jukwaa la Matangazo Madogo,
Tunafarijika kuona mnaendelea kutumia vizuri jukwaa hili katika kufanya biashara.
Hata hivyo, kuna changamoto kwa baadhi ya wenzetu kushindwa kuzingatia vigezo vya kuweka matangazo yao hivyo kupelekea matangazo yao kuondolewa hewani.
Vigezo vya msingi unavyopaswa kuzingatia kabla hujaweka tangazo;
Ni vyema kuzingatia hatua hizo chache. Kinyume na hapo, tangazo lako litaondolewa hewani.
- Elezea huduma/bidhaa unayouza kwa maelezo machache yanayojitosheleza
- Kama ni bidhaa, elezea hali yake (mpya au imetumika muda gani) huku ukiambatanisha na picha yake halisi.
- Taja bei
- Taja mahali huduma/bidhaa hiyo inapopatikana pamoja na mawasiliano yako.(Usiwaambie watu wakufuate PM kwa Mawasiliano. Weka namba ya simu)
- Weka taarifa mpya kuhusu bidhaa hiyo kwenye uzi husika, usianzishe uzi mpya.
- Usiweke tangazo moja mara nyingi.
Kuna baadhi ya matangazo hayaruhusiwi kabisa JamiiForums. Mfano matangazo ya kurasa za Blogs, Facebook, Instagram, Twitter au mtandao wowote yataondolewa mara moja.
NB: Matangazo yote yakae Jukwaa la Matangazo.
Karibuni kwa maswali na ufafanuzi zaidi..
Sijakikuka kifungu chochote cha sheria katika tangazo langu bado nauliza ni kwanini limetolewa bila sababu ya msingi1. Tangazo moja linaweza kuchukua mudagani kurudiwa hasa kama halikusomwa?
2. Nini maana ya PM (yaani waskufuate PM)
π π πHaya sawa.lakini mbona hamuelezi mlifuta uzi wangu wa papa kutoa harufu sababu zake ni zipi wakati pumbu kutoa harufu mliuacha?
Sawa
Nimeweka tangazo langu na mkalifuta. Tena nimeweka Hadi picha ila mmenionea, sijui kwa nini?Ndugu wadau wa Jukwaa la Matangazo Madogo,
Tunafarijika kuona mnaendelea kutumia vizuri jukwaa hili katika kufanya biashara.
Hata hivyo, kuna changamoto kwa baadhi ya wenzetu kushindwa kuzingatia vigezo vya kuweka matangazo yao hivyo kupelekea matangazo yao kuondolewa hewani.
Vigezo vya msingi unavyopaswa kuzingatia kabla hujaweka tangazo;
Ni vyema kuzingatia hatua hizo chache. Kinyume na hapo, tangazo lako litaondolewa hewani.
- Elezea huduma/bidhaa unayouza kwa maelezo machache yanayojitosheleza
- Kama ni bidhaa, elezea hali yake (mpya au imetumika muda gani) huku ukiambatanisha na picha yake halisi.
- Taja bei
- Taja mahali huduma/bidhaa hiyo inapopatikana pamoja na mawasiliano yako.(Usiwaambie watu wakufuate PM kwa Mawasiliano. Weka namba ya simu)
- Weka taarifa mpya kuhusu bidhaa hiyo kwenye uzi husika, usianzishe uzi mpya.
- Usiweke tangazo moja mara nyingi.
Kuna baadhi ya matangazo hayaruhusiwi kabisa JamiiForums. Mfano matangazo ya kurasa za Blogs, madawa, vipodozi, Tiba, Facebook, Instagram, Twitter au mtandao wowote yataondolewa mara moja.
Serikali yapiga marufuku matangazo ya tiba za asili
NB: Matangazo yote yakae Jukwaa la Matangazo.
Karibuni kwa maswali na ufafanuzi zaidi..