Mwuce kukoje?

Young Teacher

Senior Member
Joined
Jul 29, 2012
Posts
186
Reaction score
43
Jamani nimechaguliwa mwuce, mazingira ya huko yakoje kwa wale wanaofahamu wanipe dondoo kuhusu maisha ya huko.
 
mazingira mazuri ya kusomea , walimu wapo.
In fact its a place for a person to study.
 
Pako safi kaka, ni branch ya saut kilimanjaro (ingawa muda wowote chenyewe pamoja na ruco vitajitegemea rasmi), iko km kadhaa baada ya kcmc, kutoka chuo to town ni sh 400 tu, mazingira mazuri, ila changamoto ni accomodation ukiweza wahi ufanye mchakato wa hostel ama raa kuna nyumba nyingi mtaani za kupanga. Ila ujiandae kwa kitabu, maana mkimbizo wake si wa kitoto. Karibu sana
 
Pung'o cjakuelewa mi jina langu nimelikuta mwuce, sasa huko ud!
 
Gbrother nashukuru kwa mchanganuo, kwa suala la malaza ukikosa hostel hali mtaani ikoje namaanisha karo ya nyumba kwa mwezi iko ktk rate gani?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…