My 3 suzuki Carry(s)

My 3 suzuki Carry(s)

DaPilly

Senior Member
Joined
Mar 2, 2012
Posts
181
Reaction score
68
Hi wanajamvi
Mimi ni mjasiriamali mdogo, nimenunua suzuki carry zangu 3 toka japani sasa tokea zianze kazi zina kama wiki 3. Ninaomba kama kuna mtu anaweza kunishauri ni jinsi gani ninaweza kutengeneza pesa nzuri mbali na hii 20,000 per piece per day ambayo ninaipata toka kwa madereva wangu ambao ninawaona wananionyesha ni ngumu kuipata 20,000 kwa siku. Please advise me how best I can use them to make good money either per day or dar month.
asanteni
DaPilly
 
  • Thanks
Reactions: BIR
Inawezekana kweli ni ngumu kupata kiasi hicho kwa siku kwa sababu siku hizi kuna Bajaj za kichina ndizo zinatumika zaidi kwa kazi hizo za ubebaji mizigo.
Cha kufanya jaribu kuongea na kupata tenda toka kwa makampuni ya wanaopika vyakula vya kupeleka maharusini uwe unabeba vyakula hivyo kupeleka ukumbini.
 
Ungeanza kwa kuzifanyia advertisement wewe mwenyewe hapa jamvini,weka namba za simu kuwa anayehitaji hizo gari kwa siku bei ni....na akupigie au email wapi, humu kuna wateja wengi sana hata mimi naweza kukuunganisha siku moja moja, DaPilly ukiisha fanya biz na waswahili ukapime moyo wako kwanza maana na wao wanataka kutajirikia kwako, sasa hiyo follow up ndio watu hufia njiani.:A S-coffee:
Hi wanajamvi
Mimi ni mjasiriamali mdogo, nimenunua suzuki carry zangu 3 toka japani sasa tokea zianze kazi zina kama wiki 3. Ninaomba kama kuna mtu anaweza kunishauri ni jinsi gani ninaweza kutengeneza pesa nzuri mbali na hii 20,000 per piece per day ambayo ninaipata toka kwa madereva wangu ambao ninawaona wananionyesha ni ngumu kuipata 20,000 kwa siku. Please advise me how best I can use them to make good money either per day or dar month.
asanteni
DaPilly
 
dah 20000? Mbona ni 30000 per day inategemea na eneo unalopaki kwani wewe uko wapi? Tafuta vijiwe vyenye kazi baana hizo gari zinalipa sana
 
ni kweli kwa sasa ni ngumu sana kupata hiyo pesa mana kuna mchina kaingilia kati...labda uvikodishe kwa watu au maofisi...kuna jamaa yangu ana kampuni alikua anahitaji kimoja kwa ajili ya shugguli za site eidha ya kukodi malipo kila mwezi ama ya mkopo kulipana kwa makubaliano maalum.....kama uko interested niPM
 
Hi wanajamvi
Mimi ni mjasiriamali mdogo, nimenunua suzuki carry zangu 3 toka japani sasa tokea zianze kazi zina kama wiki 3. Ninaomba kama kuna mtu anaweza kunishauri ni jinsi gani ninaweza kutengeneza pesa nzuri mbali na hii 20,000 per piece per day ambayo ninaipata toka kwa madereva wangu ambao ninawaona wananionyesha ni ngumu kuipata 20,000 kwa siku. Please advise me how best I can use them to make good money either per day or dar month.

DaPilly

Nipe namba yako nitakuunganishia kazi ya kudumu kupeleka vyombo vya muziki na kurudisha kila wanapopiga
asanteni
 
dah 20000? Mbona ni 30000 per day inategemea na eneo unalopaki kwani wewe uko wapi? Tafuta vijiwe vyenye kazi baana hizo gari zinalipa sana

Ndugu yangu zangu zinapaki pale mwenge lakini madereva wana taabu, mmoja nimeshampokonya sasa wiki ya nne gari limepaki nyumbani.
 
Ndugu yangu zangu zinapaki pale mwenge lakini madereva wana taabu, mmoja nimeshampokonya sasa wiki ya nne gari limepaki nyumbani.

Nisaidie kama kuna sehemu ina mizigo labda hapo walipo hapana kazi, ila niliongea na mmoja wao akasema kazi zipo, ila anawashangaa wenzie
 
  • Thanks
Reactions: BIR
Ukiona headache viuze uweke hela kwenye biashara nyingine. Usianzishe bizness bila kuwa na enough knowledge
utakuja pata hasara
 
Back
Top Bottom