Hbd ubavu wa Mr Miller, Mwenyezi Mungu aendelee kuwapa tabasamu la kweli kwenye nyuso zenu.
Happy birthday in advance to her tena, uzi uliandika 2019 and still valid in 2022, hongereni sananimesoma financial services [emoji4]
Asante MremboHeri ya mfanano wa siku ya kuzaliwa mpendwa
Asante sana Kaka....Happy belated birthday dadaa
Mungu akulinde na kukutunza. Siku zako ziwe na heri hapa DunianiView attachment 2096594
Mkuu umepotea kama pasi ya mjerumanihahaha
🫣🤫😍😘🙇🏽♀️naambiwa niache kuhesabu hesabu sasa!!! [emoji16][emoji16]
anyway, leo ni nyingine tena...