May be it is true coz I have one back in 2013 when in Tambaza high school (PCB) tulipanga ghetto somewhere yaani ilikuwa ni ganja na minjunjano tu,she was Jangwani school girl.
Nilichoona kwenye hii thread in good writing skills basi kilichobaki ni hadithi ya uongo ambayo umeitunga kwa kutumia kisa cha herb.
I know Brits I have been there for 3 years they don't work for charity esp in Tanzania.
Your a good storyteller Hahaha
Mkuu umenichekesha "ganja na minyukano" hahahaa. I hope you greatly enjoyed her company. Where is she now? You guys still together au ndo vile mmeshasahauliana?
Si mbaya ni starehe kama nyingine tu worry not
Glad I hear that from you. Vile watu wanadhani "cannabis" ni mbaya na haifai kitu.
Hii kitu imetumika kwenye jamii miaka nenda rudi. Kwa ajili ya tiba, mambo ya kiroho, kusaidia watu katika uandishi wa vitabu au nyimbo za muziki tunayofurahia.
Wasio tumia "khush" hudhani mtumiaji hawazi kutenda kwa akili mawazo yake yanakuwa katika hali tunaita "mind impairment". Pengine hii ni kweli, lakini vipi tunasema kwa wale wanaoweza ku-control mind zao baada ya ku-smoke herb? I know dozen of friends they smoke herb and doing great in their carrier. I have asked them they say honestly ganja is fine with them.
Every thing ukitumia vibaya ina madhara..ganja ipo pouwa tu na wengu wanavuta emotionally nikiwa na maana mtu anavuta akiwa anawaza negative outcome..
Upo correct. If someone smokes weed while his state of emotion is negative you have to worry about him. It is dangerous because this person is damaging mind cells.
Unakuta mtu ana stress badala ya kwenda kwa therapist akapate ushauri ye anaenda kwenye ganja akidhani ndio suluhu. Cannabis haipaswi kutumiwa hivi. I recommend someone smoke weed only if they are in high vibration emotionally. When I say High Vibration I mean someone is at peace emotionally.
Mkianza kuumwa mapafu msije kuanzisha uzi kuomba msaaada.
You are correct. I can make corrections when I get home. I use phone its not easier to write everything correctly.
Cannabis contains an ingredient called THC, Tetrahydrocannabiol. Hii ni tofauti na nicotine ya kwenye tumbaku.
Let me tell you one thing, herb haimfanyi mtu aumwe kifua. What herb can get you is you feel HIGH. Don't listen to Babylon get your facts from unbiased sources. Herb is the healing power of the Nation. Sasa kazi kwako jiulize, where and how.
Excuse me when I spliff.
You are correct. I can make corrections when I get home. I use phone its not easier to write everything correctly.
Mkianza kuumwa mapafu msije kuanzisha uzi kuomba msaaada.