My beauty of the day.


Da! bro kiiza kama hali ndio hiyo u'soltini' kutaendeka kweli!!
 



Mimi miss Tanzania wangu wa leo ni huyu,nani aliyesema miss lazima atangazwe na Lundenga.


Paka mweusi hicho chombo ulikiibua wapiii? nilengeshe basi kama ana mdogo wake na mie nikamatie mzigo! manake hao hawana complications kama za hawa kuku wa kisasa ambao mara leo kataka ubunge wa viti maalumu, mara kesho anataka umnunulie RAV 4, keshokutwa anakulazimisha umpangie nyumba mikocheni basi ghasia tupu.

Hicho kitu natural, unakula mzigo hata kwenye mkeka! th! th! th!
 


Tembelea Handeni mkuu wapo wa kumwaga.
 
jamani huyu ni mzuri mpaka basi,hapå hakuna cha podari wala lipstick wala hatumii body scrub wala moisturizing lkn ngozi iko muruwa.:A S crown-1:
Nahisi na yako itakuwa hivyo dada Cheusi.
 
yeiyeiyei,mama yeyee alipga hiyo picha lini? na ni nani alimpiga? na alipata hela wapi?
ngoja nifike nyumbani mara nyingi sisi hatupendi masarau.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…