Ta...ta ra ta ra ta taaIn my list lazima Ron Kenoly na Jaye Thomas wawepo. Pia Ray Boltz
Jamaa ni nguli haswa...halafu na yule mpiga basi wake Abraham Laboriel, huwa mzuka ukimpanda utampenda!Ta...ta ra ta ra ta taa
Ta..ta ra ta ra ta taa
Righteousness,.. peace...joy in the Holy Ghost..
Righteousness peace and joy in the Holy Ghost that's the Kingdom of God..
Don't you wanna be a part of the Kingdom x3
C'mon everybody...
anaitwa Sinach kiongoziDaaahhh song katika ubora wake jina la muimbaji asee naomba
yeah! jamaa yupo vizurJamaa ni nguli haswa...halafu na yule mpiga basi wake Abraham Laboriel, huwa mzuka ukimpanda utampenda!
Judith sephuma bwanaa acha kabisa huyu msouthNdugu umenikosha wewe kweli unaujua muziki wa SA hadi Judoth Sephuma!!! Hahaha, nimefurahi kukufahamu
Kirk Franklin-imagen me
Huyo sinach anakuja kenya kuna show anafanya kuleanaitwa Sinach kiongozi
Niaje mzeee kp mdau wa kinoJudith sephuma bwanaa acha kabisa huyu msouth
Daaa we ni mdau ila hz username nimeshindwa kukunyaka,embu n pmNiaje mzeee kp mdau wa kino
Ntaisaka hiyo JC 17, naona mmeisifia sana![emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Sasa wewe kweli unafuatilia JC, na Sebebutwa ilinyongwa base flan hivi next level.
Ujue JC 17 ilikuwa ndo transition waliondoka waimbaji wengi wa zamani kina zodwa, kina tebello, Ntokozo, kina Sipho Manqele, kina Uche, na watu wengi walijua jamaa ndo wamepotea , so ilibidi wakaze na kweli walitoa the best JC na ndio hawa wapya kina Sibussiso, Given Mabena, Xolile Mcwango etc waliiingia
Ilikuwa ni fantastic transition
Hahaha ni nzuri iskize mkuNtaisaka hiyo JC 17, naona mmeisifia sana!
jc zote nzuri ila mi jc 12 na jc13 nimezielewa sanaHahaha ni nzuri iskize mkui
Anhaajc zote nzuri ila mi jc 12 na jc13 nimezielewa sana
umenikumbusha mbali sana.....Ta...ta ra ta ra ta taa
Ta..ta ra ta ra ta taa
Righteousness,.. peace...joy in the Holy Ghost..
Righteousness peace and joy in the Holy Ghost that's the Kingdom of God..
Don't you wanna be a part of the Kingdom x3
C'mon everybody...
yap jàmaa alikuwa vzr sana mi naupenda he is heilingAnhaa
Hizo nazo zilikuwa poa
Kina Jc 12 amepiga bwana patrick duncan Phindukhulume nili ipenda sana
wengi wa zamani wametoka na kuwa solo artist duncan ana album yake ntokozo mbatha khaya mahalia wote wanafanya solo ya mahalia umeisikia? balaaAnhaa
Hizo nazo zilikuwa poa
Kina Jc 12 amepiga bwana patrick duncan Phindukhulume nili ipenda sana
Khaya na ntakozo ni level nyingnewengi wa zamani wametoka na kuwa solo artist duncan ana album yake ntokozo mbatha khaya mahalia wote wanafanya solo ya mahalia umeisikia? balaa
hahahahaha itakuwa hupendi style yake ye anaimba sana worshipKhaya na ntakozo ni level nyingne
Ila mahalia kwa kweli haja nishawishi nisiwe muongo