Kumbe mwanao wa kiume... Mi nnaye wa kike...:clap2::clap2::clap2:
mmh una anzia mbali...:twitch::twitch:
tom jina zur teh teh !...asikwambie mtu mbona haukumwta mwanao CHNGWAMBE,KANDIMBA..
ahh bwana tom jina zuri
na katika madogo zangu wote nampenda uyu tom
bt matom weng wana tabia izi
watundu,wavivu,mapleya
bt wanajalisana
wanapenda hesabu
Yaani we acha tu,i wish i could buy him his favourite car...lamborgini......lol
Nampenda huyu mwanangu jamani......:A S 20:
ukianzia mbali mlima haukuchoshi...
[/COLOR]
wewe Rose usinifanye nibadili jina la mwanangu........mbona akili yako imeharibika ivyo,unawaza hilo jina zuri kila saa....byeeeeeee!!!
Nami nilikuwa natafuta wa kiume...
Tunaweza badilishana etie...
na babake unampenda THE SAME?
na babake unampenda THE SAME?
Hujambo mama Tom,
mwanangu anaendeleaje?
Tatizo unasubiri tu... ungekuwa nawe unakuja ili tukutane mapema...
Mi sitaki kumpa mtu Tom wangu nataka nipate mtoto mwingine wa kike,sasa kwa kuwa unaye wa kike nami wa kiume......malizia mwenyewe bwana??..............................ungependa wa kiume wewe???:roll::laugh: