Mpwa tumetoka mbali? Nikutumie shemejio aje nyumbani utusaidie?
Hali mbaya mkuu ama vinginevyo natuma kijana wa Ng'ombe! walau 40,000 Tshs
Mh! inawezekana....Mshahara ni kama hedhi, unakuja na kukaa siku 3 hadi 7, usipokuja ujue una mimba tayari.
Hahahhah mpwa wanitega? najua wataka nimtume house gal wangu!