ahahahaahahaaaaaaaaaaaaaaaa_mkuu alikuudhi sana,..maake mmmmhKama unadhani huhitaji kuwasiliana naye kabisa dawa yake ni ku m block, hutamwona tena na yeye hatakuona tena hata ukimsearch. Labda ukitumia ID nyingine. Hiyo ndo dawa inayoweza kukusaidia. Otherwise uwe bado unampendapenda ndo utashindwa kufanya ku mblock. Nami alikuwepo wa namna hiyo nili mblock na sasa simuoni tena bado kwenye simu ndo anaweza kunitafuta japo na kwenyewe natafuta namna ya kumblock maana sipendi anipigie kabisaaa.
watu mbona mnakuwa na unafki usio wa maana,kama hujui facebook basi we huishi hii sayariFacebook ndio mdudu gani tena mkuu,......
ahahahaahahaaaaaaaaaaaaaaaa_mkuu alikuudhi sana,..maake mmmmh
you have to block her........wewe hautakuwa na uwezo wa kuiona profile yake wala yeye hataweza kuiona ya kwako. Hiyo ndo dawa!!!!!!
watu mbona mnakuwa na unafki usio wa maana,kama hujui facebook basi we huishi hii sayari
members wengi humu wanajifanya hawajui facebook wakati 99% wapo facebookHahahhahaaa....anafanya makusudi,sio makosa yake.....
Mpotezee tu. Mwache afanye atakavyo, we jifanye kama humwoni vile, endelea na mambo yako tuWadau my ex gal wangu cjui ananitafuta uchokozi gani,ananifuatlia sana facebuk,kila nkicomment kwa msichana yeyote lazima aniulze ni nani wangu,ananitagg picha zake bila ruhusa yangu,jana kanitagg picha ya mkaka flan hv ambae nahisi ndo anae mkamua sa hz, nkajarbu kumuulza akanijbu kimkato tu..nimemchmba mkwara lakn naona hausaidii.naombeni mawazo yenu yenye busara ya hatua gani za kuchukua!over
hovyooo, hivi hili nalo ni tatizo?
si umesema ni ex wako? Kwa nini usimblock?