My ex-girl ananifuatlia facebook

inaweza ikawa sio tatizo kama kila mtu ana hamsini zake. Lakini mnafuatana mpaka kwenye tags, ukicoment akuulize huyo nani? Thats too much wala haihitaji uende jf kupata ushauri!

 
Yaani aliniudhi kupita kipimo nkamu, na sasa anaendelea kuniudhi kwa kunitafuta kwenye simu. Ningependa anisahau kabisa kama nami ninavyo msahau, ni king'ang'anizi sana. Njanga ghwee.

Mkuu tarifa yako utata mtupu,usumbufu kwnye Fb au kwnye cm?
 

Sasa tayari umesema X GF wako...we mpotezee tu au bado unammind???
 
Easy, mdelete katika list ya friends wako, then weka restrictions katika profile yako nani anaweza iona na nani hawezi, kwenye kutag pia unaweza chagua nani akutag mfano ukiruhusu friends tu after umeshamdelete then hawezi kukutag tena. Ni hayo tu
 
m block bhana mbona simpo atakuwa akuhoni hewani wala huhtaji kutumia nguvuuuuu
 
Nawewe pia unayataka,kwani ukimpuuza utapungua nini? kama umesema ni X wako basi achana nae unamulizia nini huyu nani au yule nani,muachie usimulize chochote yani fanya kama hupo na wala hujawahi kukutana na kituko kama hicho...
 
uyo bado anakupenda mkuu kama vipi aitakua mbaya rudi kundini uanze kukamua si kaja mwenyewe:lalala:
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…