BADILI TABIA
JF-Expert Member
- Jun 13, 2011
- 32,767
- 23,198
jamani being your x doesnt mean is ur enemy. huyo anatakiwa kuwa rafiki yako ambae mnaweza kusalimiana, kusaidia pale mmoja anapokwama na hata kurudiana kama kuna haja ya kufanya hivyo!!n.k n.k. Hayo mambo ya kukerwa kwenye USOKITABU wala si tatizo kubwa, muache tu aendelee na pale unapoweza kumjibu mjibu tu atachoka mwenyewe
ma teenager bwana.........
members wengi humu wanajifanya hawajui facebook wakati 99% wapo facebook
members wengi humu wanajifanya hawajui facebook wakati 99% wapo facebook
Yaani aliniudhi kupita kipimo nkamu, na sasa anaendelea kuniudhi kwa kunitafuta kwenye simu. Ningependa anisahau kabisa kama nami ninavyo msahau, ni king'ang'anizi sana. Njanga ghwee.
Kawaulize Huko Huko face buku!
Wadau my ex gal wangu cjui ananitafuta uchokozi gani,ananifuatlia sana facebuk,kila nkicomment kwa msichana yeyote lazima aniulze ni nani wangu,ananitagg picha zake bila ruhusa yangu,jana kanitagg picha ya mkaka flan hv ambae nahisi ndo anae mkamua sa hz, nkajarbu kumuulza akanijbu kimkato tu..nimemchmba mkwara lakn naona hausaidii.naombeni mawazo yenu yenye busara ya hatua gani za kuchukua!over