Washawasha
JF-Expert Member
- Aug 7, 2006
- 16,717
- 13,176
Nikimwambia na jamaa akachukua jukumu la kumwacha mwanamke si atanimaindi mimi? Nalog offNadhani ni vuzuri ukamwambia. . . though huyo dada anaweza akawa ameshakuwahi.
Nashukuru mkuu kwa majibu yako,nitayafanyia kazi. Nalog offWewe hayo hayakuhusu tena. Jali ya kwako tu.
Hapana sikuwa na lengo hilo,mie nilikwenda kuuza sura tu ndio nikayaona hayoduh, 2washa ulikuwa bado unataka kugonga kopi?
Kama hutaki kopi inahu?
Hapana demu hajui kama huyu new comer ni mbongo mwenzangu. Nalog offWhy umwambie...kwani demu hajui we huyo ni mshkaji wako sa ye demu amuambie msela kua ushawahi chovya
Hapana bado sijaukwaa,wanadai sie wenye damu ya group o +ve hatuupati huu ugonjwa. Nalog offAu umeshaukwaa unaogopa kumpoteza jamaa. Kama ni hivyo mweleze mapema.
Tugange yajayo! Nalog offYaliyopita yamepita.
Na ndio maana najiuliza nimwambie au niuchubue! Nalog offKuna washikaji wengine ukiwaeleza hilo suala na ushikaji unaishia hapo, look very my friend..!
Mie sina wivu na my ex-gf wangu. Nalog offwivu ni kidonda....