Angel Nylon
JF-Expert Member
- Jul 26, 2011
- 9,164
- 18,402
Nimefurahi kuona umeappreciate her efforts, be blessed Angel NylonMy mom. My everything in this world.
She raised us as a single parent since I was 9. Tangu baba'etu alipofariki ghafla tu.Huyu mwanamke ni wa heko na ni wa kupigiwa mfano. Alhamdulillah jambo la kumshkuru Mungu ni kutuachia hai mama etu hadi leo anafaidi matunda ya malezi yake bora kabisa aliyotulea. Alhamdulillah. Love u mom....to the moon and back.....
Pole sanaNawaonea wivu wenye baba,sikuwahi kuwaza mshua agesepa mapema hivi
Mliopoteza wazazi mmewezaje Ku handle situation?
Pole sanaMungu akulaze mahala pema [emoji120]. My hero Rest easy my boy Time flies[emoji471][emoji47]View attachment 1698349
Interesting [emoji3590]My Husband........My Hero huwa ninamshukuru sana Mungu kwa ajili yake.
Amen. May the Almighty hear this[emoji120][emoji120]My superwoman
My mom[emoji177]
Huyu mwanamke aliyopitia na anayopitia ni mazito Sana ila yuko imara sana.
Dear Lord for the sake of my parents, especially my mom..make me successful.
Unatabasamu nini?[emoji4][emoji4][emoji4]
Ameen.Nimefurahi kuona umeappreciate her efforts, be blessed Angel Nylon
Mefurahi tu mchumba [emoji4][emoji4]Unatabasamu nini?
Ha ha haaaa. Bibie upo? Long time no seeAnalyse Babako nampenda sana.
Napenda sana anavotumia experiential learning kwenye maisha yenu/yako.
Sijasahau habari ya mashamba ya tangawizi.
Kuhusu my Hero mi ni baba yangu pia.
Babangu aliwahi kuniruhusu nikapigane na mvulana.
Alinipiga nikalia, nikarudi nyumbani ninalia.
Akaniuliza kwann unalia, nkasema nimepigwa na fulani!
Akaniambia kwann kila siku unapigwa na unarudi nyumbani unalia, simama!
Nikasimama, akaniambia this time around utapigana.
Nkasema naogopa, yule ni mvulana.
Akaniambia sawa, ila na wewe ni msichana.
Tofauti pekee iliyopo kati ya msichana na mvulana ni the fact kuwa mmoja anavaa kaptura na mwingine anavaa sketi.
Kuanzia leo utakaa kaptura.
Na utaenda kupigana.
Nikavalishwa kaptura, nkarudishwa eneo la tukio.
Akageuza kuniacha (tulikuwa tunakaa maghorofani) kumbe alilaa juu kama balcony hivi anatutizama.
Nkaenda nkaanzisha revenge, nkamchapa bana yule mvulana.
Aseeeeh.
Sijawahi sahau that energy ndani yangu.
Na sijawahi kusahau maneno ya babangu.
Na yamenivusha mahali kwingi mno.
My father my Hero.
I hope one day we will all get what we have been praying for.I wish wanangu waje kushuhudia namna hii kama analyse anavyoshuhudia mazuri kutoka kwa wazazi wake.
Ni familia chache Sana zinamaintain hii hali hadi mwisho
Mungu ninaomba unipe mume Bora[emoji3590][emoji2969]
Mpe tano [emoji2935] mzee wetu.My father is my hero...
Nimempenda pia mzee wako. Amekufanya uwe strong na uweze kujisimamia.Analyse Babako nampenda sana.
Napenda sana anavotumia experiential learning kwenye maisha yenu/yako.
Sijasahau habari ya mashamba ya tangawizi.
Kuhusu my Hero mi ni baba yangu pia.
Babangu aliwahi kuniruhusu nikapigane na mvulana.
Alinipiga nikalia, nikarudi nyumbani ninalia.
Akaniuliza kwann unalia, nkasema nimepigwa na fulani!
Akaniambia kwann kila siku unapigwa na unarudi nyumbani unalia, simama!
Nikasimama, akaniambia this time around utapigana.
Nkasema naogopa, yule ni mvulana.
Akaniambia sawa, ila na wewe ni msichana.
Tofauti pekee iliyopo kati ya msichana na mvulana ni the fact kuwa mmoja anavaa kaptura na mwingine anavaa sketi.
Kuanzia leo utakaa kaptura.
Na utaenda kupigana.
Nikavalishwa kaptura, nkarudishwa eneo la tukio.
Akageuza kuniacha (tulikuwa tunakaa maghorofani) kumbe alilaa juu kama balcony hivi anatutizama.
Nkaenda nkaanzisha revenge, nkamchapa bana yule mvulana.
Aseeeeh.
Sijawahi sahau that energy ndani yangu.
Na sijawahi kusahau maneno ya babangu.
Na yamenivusha mahali kwingi mno.
My father my Hero.