My favourite Radio and TV channels

My favourite Radio and TV channels

Fohadi

JF-Expert Member
Joined
Jul 24, 2020
Posts
772
Reaction score
2,421
Ukitaka nisikilize Radio siku nzima. Niwekee CLOUDS FM halafu ficha remote. Wala sitahangaika kukupigia simu. Hii redio imesimama sana na vipindi vyake vina mpangilio na mtiririko usiochosha.

Ukitaka nitazame TV kwa local channels siku nzima. Niwekee EATV halafu ficha kabisa remote. Sitakuwa na habari na wewe.
 
Eti Clouds?
Umewahi kuzisikiliza hizi radio za Kenya soundcity Kenya,Classic,Capital,Home boys radio au Kiss fm?
 
Eti Clouds?
Umewahi kuzisikiliza hizi radio za Kenya soundcity Kenya,Classic,Capital,Home boys radio au Kiss fm?
Hapana...Sijawahi. naongelea hizi za Bongo
 
Kiss fm,RFA,wasafi fm,tv ni safari chan baasi
 
Ukitaka nisikilize Radio siku nzima. Niwekee CLOUDS FM halafu ficha remote. Wala sitahangaika kukupigia simu. Hii redio imesimama sana na vipindi vyake vina mpangilio na mtiririko usiochosha.

Ukitaka nitazame TV kwa local channels siku nzima. Niwekee EATV halafu ficha kabisa remote. Sitakuwa na habari na wewe.
Kwa hiyo hadi kile kipindi cha Dadaz unakiangalia.? Waaoh
 
Hiyo clouds huchoki matangazo? Maana tangazo linarudiwa kila baada ya dk5
 
Kwa sasa ni smartphone na tv kwenda mbele, radio nilishaachananazo kitambo

Radio stations nilitokea kuzipenda wakati ule ni
RADIO FREE AFRIKA, MWANZA
KISS FM, MWANZA
RADIO TANZANIA DAR ES SALAAM


Hawa wakina clouds, eatv na wasafi wakasome
 
Back
Top Bottom