dyuteromaikota
JF-Expert Member
- Apr 30, 2013
- 5,929
- 8,327
Inasikitisha sana mzee umefight ukakichanga kikachangika harafu unachukua mchepuko hata haueleweki!
Mtu unaingia kiwanja unapaki ndinga kali lakini huyo mchepuko unayeshuka nae ni hovyo vibaya!!
Sasa sisi wenye babywalker tuchukue mademu gani!!?
Ni ushauli tu mazee msijenge chuki
Mtu unaingia kiwanja unapaki ndinga kali lakini huyo mchepuko unayeshuka nae ni hovyo vibaya!!
Sasa sisi wenye babywalker tuchukue mademu gani!!?
Ni ushauli tu mazee msijenge chuki