My girlfriend ananiibia hela yangu

Huyo girlfriend wako inaelekea ana tabia ya udokozi na imeshakomaa. Kama bado unamzimia mwambie ukweli anaweza kujirekebisha ila sidhani kama ataacha.

Ila BJ inawezekana hampi hela ya kutosha ya matumizi,Hivi kama wakimaliza hiyo game yao sijui ya Man na Chelesea akampa vijisenti na kumwambia sweetheart wako ajikimu kwa Rotion na matumizi madogodogo atamuibia kweli,
yawezekana wewe ni bahili...
 
hahahahaha hapana mkuu mimi huwa sijivungi kumpa mtu kubwa nikiona nazidiwa huwa ni mtaa tuu cfikirii mara 2

So vipi ,bado unafurahia kuibiwa au?
Otherwise ungesha mkimbia mapemaaaaa
 
kaka bei ya pedi imepanda ok alafu vicheche vingine ni viizi kwa hulka haviezi kuacha we chakachua huku ukiendelea kuitafuta mbadalaaa!!
 
Mie nitamtafuta huyo DEMU nimpe mbinu za kivita amuibie mpaka ajisikie poa

I wish, angekuwa anapita hapa, aone hii!!! Hivi hawezi katupatia namba za huyu Demu wake tumtafute!!!
 
I wish, angekuwa anapita hapa, aone hii!!! Hivi hawezi katupatia namba za huyu Demu wake tumtafute!!!

Hebu tu PM atupe namba ya huyu DEMU tumtafute nina hamu naye sana huyu DEMU nimuone nimpe mbinu za kivita
 
endelea naye, ila anza kumpa PESA za matumizi! unategemea nini kila siku UNAMKANYAGA tu alafu waondoka? inaonekana u baili sana ndo maana ukaamua kupanga permanent room! huyo binti ni mwema sana kwani inaonesha hata kiasi anachochukua ni subsistance (a kujikimu) tu alafu unalalaaaaaama!

 

Sio hivyo kaka angu natakiwa nikitoka hapo nioge, nipake mafuta, niendelee kupendeza.
We unataka je? Nikiwa mchafu utaniacha, kunifanya nipendeze na niwe msafi hutaki.....Wataka ni?

Haki sawa katika nini labda. Kwenye swala a mahusiano mi mwenzenu naamini mwanaume atabaki kuwa kichwa tu.
Ila msituonee tuuuuuuuuuuuuuuuu!!!!
 
Hebu tu PM atupe namba ya huyu DEMU tumtafute nina hamu naye sana huyu DEMU nimuone nimpe mbinu za kivita

Hahahahaha, washawasha tunaomba namba ya simu ya Demu wako.
 
kaka bei ya pedi imepanda ok alafu vicheche vingine ni viizi kwa hulka haviezi kuacha we chakachua huku ukiendelea kuitafuta mbadalaaa!!

Uzuri wa haya mambo, vicheche wanachukuliwa na vicheche vyenzie.
Kwa maana ingine namsifu huyu Kicheche a.k.a Demu wa Washawasha,
Manake ana akili sana.
 
Hapa sioni unacholalamika mkuu,kwani kuna watu washaibiwa pesa ya mkopo wa kujengea na hawajalalamika.Cha kufanya wewe ni kuelewana na mpenzi wako tu kwani inawezekana yeye ni aina ya wasichana wasiopenda kupewa ila wanapenda kujichukulia wenyewe,na kama ukishaelewa kuwa yuko hivyo basi na wewe kila ukikutana naye kwa kuwa unajua atajichukulia basi unakwenda na zile ambazo umempangia ajichukulie na ukienda na nyingi akazibeba wala usilalamike kwani tayari utakuwa unajua aina ya mtu uliye naye..
 
dah! Pole sana kiongozi ndio ukubwa huo,ila muangalie vzuri huyo demu kwenye site mirror
 
Dah! Kweli kazi ipo
 

Kwamba ni kicheche/DEMU au................................Mmmmmmmh Paka, haya mahusiano ya hivo yanakuwa na ,malengo gani labda????
 
Kwamba ni kicheche/DEMU au................................Mmmmmmmh Paka, haya mahusiano ya hivo yanakuwa na ,malengo gani labda????




Malengo wanayajua wenyewe mama,mimi na wewe hatuwezi kuyajua na hata tukiwauliza malengo yao hawatatueleza..............
 
Hapana hiki chumba ninacho ktambo kabla cjaanza nae ila hii tabia yake mie ndio imeniacha hoi ila kwa style hii nitaenda naye vile anavyotaka yeye
 
Sijui niko je!!!
Kama ni Demu naona ni halali yake tu kukuibia.

Hivi hili jina unajua mi silipendi, khaaaa...........................h
Jina gani Demu au Washawasha?
 
Malengo wanayajua wenyewe mama,mimi na wewe hatuwezi kuyajua na hata tukiwauliza malengo yao hawatatueleza..............

Dah, haya bwana!!!!!!
Hili jibu linatosha, ngoja nihamie kule kwingine sasa.............!!!!
 
Hivyo ulivyomfanya inatosha kabisa, hata yeye hatarudia tena.
Kwa sasa unachotakiwa kumfanya ni kumsamehe tu,thats all.
 
Kama nimekusoma vizuri LD, unamaanisha kuwa mumeo ndiye mwenye last say katika maamuzi ya nyumbani. With that kind of model, nadhani una haki ya kuchukua mkwanja.
:hand:
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…