FirstLady1
JF-Expert Member
- Jul 29, 2009
- 16,789
- 5,401
Huyo girlfriend wako inaelekea ana tabia ya udokozi na imeshakomaa. Kama bado unamzimia mwambie ukweli anaweza kujirekebisha ila sidhani kama ataacha.
hahahahaha hapana mkuu mimi huwa sijivungi kumpa mtu kubwa nikiona nazidiwa huwa ni mtaa tuu cfikirii mara 2
Mie nitamtafuta huyo DEMU nimpe mbinu za kivita amuibie mpaka ajisikie poa
I wish, angekuwa anapita hapa, aone hii!!! Hivi hawezi katupatia namba za huyu Demu wake tumtafute!!!
Mambo zenu waheshimiwa?ni hivi mie nina my girlfriend wangu ambaye nimepanga chumba kwa ajili ya kwenda kufurahishana inapobidi,lkn mara nyingi napokutana naye baadae nikihesabu hela zangu nakuta zimepungua ktk hali ya mm kutoelewa kwamba kwann zimepungua kiasi hiko nikawa nafikiri labda nimesahau mahesabu lkn kuna cku nilizihesabu fedha zangu kabla yeye hajafika lkn cha ajabu tulipomalizana nikakuta hela zimepungua kwahiyo nikawa na uhakika kuwa yy ndiye anayeniibia bac jana nikamwita ili aje nami nimtege,bac 2kaichakachua ngono kama kawa, 2livyamaliza kuivunja amri ya 6 mie nikaenda kukoga niliporudi nikamuambie na yeye akaoge,alivyotoka mie nikahakikisha hela yangu na kuiona imepungua ndipo nikaanza kusachi ktk nguo zake ckukuta ki2 lkn nilipofika kwenye viatu vyake nikazikuta hela zangu mie nikazichukua zile hela zangu na kuchukua karatasi na kuiandika maneno haya:HII HELA INUNULIE CHUPI UVAE ,nikaichukua ile karatac nikaiweka ktk kile kiatu chake na ku2lia kana kwamba hakuna kilichotoke,alivyorudi kukoga mie nikawa namchora anavyohakikisha kama noti bado ipo kwenye kiatu chake,akavaa na kuondoka zetu cha ajabu mpaka sasa cmu yake kaizima,je nimfanyaje huyu demu na tabia mbaya yake hii mie bado namzimia?
Wanawake bwana, hata hamueleweki mara haki sawa, mara sijui nini....Sasa wewe unataka bf wako akupe hela ili iweje. Kama mmekubaliana kuwa pamoja si wote mnafurahia, mimi nashangaa hii habari ya kudai upewe hela inatoka wapi. Halafu mkishapewa mnaanza kulalama oooh tunataka kuwa sawa. With this kind of mentality mtachezewa milele.
Hebu tu PM atupe namba ya huyu DEMU tumtafute nina hamu naye sana huyu DEMU nimuone nimpe mbinu za kivita
kaka bei ya pedi imepanda ok alafu vicheche vingine ni viizi kwa hulka haviezi kuacha we chakachua huku ukiendelea kuitafuta mbadalaaa!!
Dah! Kweli kazi ipoHapa sioni unacholalamika mkuu,kwani kuna watu washaibiwa pesa ya mkopo wa kujengea na hawajalalamika.Cha kufanya wewe ni kuelewana na mpenzi wako tu kwani inawezekana yeye ni aina ya wasichana wasiopenda kupewa ila wanapenda kujichukulia wenyewe,na kama ukishaelewa kuwa yuko hivyo basi na wewe kila ukikutana naye kwa kuwa unajua atajichukulia basi unakwenda na zile ambazo umempangia ajichukulie na ukienda na nyingi akazibeba wala usilalamike kwani tayari utakuwa unajua aina ya mtu uliye naye..
Hapa sioni unacholalamika mkuu,kwani kuna watu washaibiwa pesa ya mkopo wa kujengea na hawajalalamika.Cha kufanya wewe ni kuelewana na mpenzi wako tu kwani inawezekana yeye ni aina ya wasichana wasiopenda kupewa ila wanapenda kujichukulia wenyewe,na kama ukishaelewa kuwa yuko hivyo basi na wewe kila ukikutana naye kwa kuwa unajua atajichukulia basi unakwenda na zile ambazo umempangia ajichukulie na ukienda na nyingi akazibeba wala usilalamike kwani tayari utakuwa unajua aina ya mtu uliye naye..
Hakuna cha ngoma droo hapo yy kashindaWe we nae bana kwanini hukumuuliza?? Aliyeuza cheni feki nae kapokea noti feki ngoma droo hapo
Kwamba ni kicheche/DEMU au................................Mmmmmmmh Paka, haya mahusiano ya hivo yanakuwa na ,malengo gani labda????
Hapana hiki chumba ninacho ktambo kabla cjaanza nae ila hii tabia yake mie ndio imeniacha hoi ila kwa style hii nitaenda naye vile anavyotaka yeyeAs a rule....siwezi kuchukua mwanamke wa hivi....kwa nini na wewe usimuulize from the start ukajua hali yake, ana mahitaji gani., kisha ukamtimizia ndo mkala tunda kwa raha?
Inavoonekana ngono mnafanya kweli ngono but you are not making love
kwa sababu kama unamzimia kama unavosema, yeye hakuzimii anakuchuna. Na kama unamzimia, kwa nini umempangia chumba cha kufanya ngono tu? I mean kwa nini usimpe respect kwa kumweleza ukweli kwamba labda home ni noma nk
Inaleta picha kwamba, huyo ni wale madada poa sijui mnawaitaje...mi hata sijui, lakini ukiwa na hao.....hakuna kuzimiana ni kufanya kilichokupeleka...ndo maana anakuibia...sasa huyo sio GF in the strict sense mkuu....huyo niu mjasiriamali na usijidanganye kuwa unamzimia....
Jina gani Demu au Washawasha?Sijui niko je!!!
Kama ni Demu naona ni halali yake tu kukuibia.
Hivi hili jina unajua mi silipendi, khaaaa...........................h
Malengo wanayajua wenyewe mama,mimi na wewe hatuwezi kuyajua na hata tukiwauliza malengo yao hawatatueleza..............
Mambo zenu waheshimiwa?ni hivi mie nina my girlfriend wangu ambaye nimepanga chumba kwa ajili ya kwenda kufurahishana inapobidi,lkn mara nyingi napokutana naye baadae nikihesabu hela zangu nakuta zimepungua ktk hali ya mm kutoelewa kwamba kwann zimepungua kiasi hiko nikawa nafikiri labda nimesahau mahesabu lkn kuna cku nilizihesabu fedha zangu kabla yeye hajafika lkn cha ajabu tulipomalizana nikakuta hela zimepungua kwahiyo nikawa na uhakika kuwa yy ndiye anayeniibia bac jana nikamwita ili aje nami nimtege,bac 2kaichakachua ngono kama kawa, 2livyamaliza kuivunja amri ya 6 mie nikaenda kukoga niliporudi nikamuambie na yeye akaoge,alivyotoka mie nikahakikisha hela yangu na kuiona imepungua ndipo nikaanza kusachi ktk nguo zake ckukuta ki2 lkn nilipofika kwenye viatu vyake nikazikuta hela zangu mie nikazichukua zile hela zangu na kuchukua karatasi na kuiandika maneno haya:HII HELA INUNULIE CHUPI UVAE ,nikaichukua ile karatac nikaiweka ktk kile kiatu chake na ku2lia kana kwamba hakuna kilichotoke,alivyorudi kukoga mie nikawa namchora anavyohakikisha kama noti bado ipo kwenye kiatu chake,akavaa na kuondoka zetu cha ajabu mpaka sasa cmu yake kaizima,je nimfanyaje huyu demu na tabia mbaya yake hii mie bado namzimia?
Kama nimekusoma vizuri LD, unamaanisha kuwa mumeo ndiye mwenye last say katika maamuzi ya nyumbani. With that kind of model, nadhani una haki ya kuchukua mkwanja.Sio hivyo kaka angu natakiwa nikitoka hapo nioge, nipake mafuta, niendelee kupendeza.
We unataka je? Nikiwa mchafu utaniacha, kunifanya nipendeze na niwe msafi hutaki.....Wataka ni?
Haki sawa katika nini labda. Kwenye swala a mahusiano mi mwenzenu naamini mwanaume atabaki kuwa kichwa tu.
Ila msituonee tuuuuuuuuuuuuuuuu!!!!