My girlfriend ananiibia hela yangu

Eti gelofriend wake anaitwa Demu.
Sasa analalamika nini??
Mi nikimuona nitamwambia na vingine anavyotakiwa aibe.
Ni pm nitakupa namba yake ila usimfundishe kuniibia uume wangu
 

Kwanza huyo ni girlfriend au ni msichana wa kufanya naye ngono na kuondoka? huyo lazima akuibie tena kama humpi chochote , halafu hakupendi kwa sababu na wewe inaonyesha humpendi maana maneno unayoandika sidhani kama ni msichana unayempenda, ungetakiwa ukae naye muongeleshe kwa busara mwambie madhara ya tabia yake na umwambie kama ana shida akuambie asikuibie, na akuahidi hatakuibia tena. lazima kuna mambo unamfanyia siyoo bure. kama humpendi muache tafuta unayempenda na ambaye siyo mwizi
 
Umeona eeh,
Kaibiwa na demu wake, anatudanganya girlfriend wake.
Halafu analo pango la kudemulia, khaaaaaaaah, aibe na PIN na kadi ya benki kabisa!!!
PIN hakuiba ila nimempa mwenyewe
 
FP naoan wewe unalipenda kidogo yaani mimi ukiniita Demu hakiyamungu sikuitikii wala kukusemesha milele Demu ndo nini bana
Ukiona mtu anaitwa demu ujue huyo ni mwanamke,mwanaume haitwi demu
 
Ila BJ inawezekana hampi hela ya kutosha ya matumizi,Hivi kama wakimaliza hiyo game yao sijui ya Man na Chelesea akampa vijisenti na kumwambia sweetheart wako ajikimu kwa Rotion na matumizi madogodogo atamuibia kweli,
yawezekana wewe ni bahili...

Au alimzoesha pesa halafu kasitisha..pia inategemea na malezi ya huyo binti kutoka kwao na alivyokua!!!
Kwa kuanzia washawasha aanze kumpa vizawadi na muhimu zaidi kumwambia wazi kuhusu tabia ya udokozi aliyoiona. Halafu amsikie bibie atasemaje!!..
p.s. avatar yako maridadi!!!!
 

Hivi LD, kama je unakazi na kipato kuzidi mwanaume ni lazima akupe hela ya matumizi? Je, unapima kupendwa kwa hela unazopewa? Je, Inamaana mapenzi yako yanaangalia sana kipato cha mwanaume kuliko penzi halisi?

Na wewe washawasha, inaonekana wewe na gf wako mko kibiashara zaidi. hapo hakuna mapenzi ndio maana gf anatoka jasho na kudai/kuiba pato lake. ukute ukiondoka anawateja wengine anaowapa biashara yake. kwahivo ni sawa tu akikuibia kama haulipi. tenaukute huwa anawazakichwani kwake umalize hiyoshughuli haraka ili akuibie.
 
Ila BJ inawezekana hampi hela ya kutosha ya matumizi,Hivi kama wakimaliza hiyo game yao sijui ya Man na Chelesea akampa vijisenti na kumwambia sweetheart wako ajikimu kwa Rotion na matumizi madogodogo atamuibia kweli,
yawezekana wewe ni bahili...
Hapana sio mbahili ktk suala mapenzi pia hela ya matumizi huwa nampa
 
So vipi ,bado unafurahia kuibiwa au?
Otherwise ungesha mkimbia mapemaaaaa
Hapana ndugu cfurahii kuibiwa ispokuwa namtafutia njia mbadala ili niendelee kumchakachua
 
kaka bei ya pedi imepanda ok alafu vicheche vingine ni viizi kwa hulka haviezi kuacha we chakachua huku ukiendelea kuitafuta mbadalaaa!!
Aminia kiongozi nitamuanzishia style ya maandamano atakoma mwenyewe
 
I wish, angekuwa anapita hapa, aone hii!!! Hivi hawezi katupatia namba za huyu Demu wake tumtafute!!!
LD & DCD njooni PM niwape tarakimu za celular yake
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…