Duh! Bado kuna wasela wanamega bila ndomu. Sijamaliza kushangaa.
Umeuwawa mazima!
Hapo broda unashikwa masikio HIVIHIVI!
Huyo dada kama ni mjamzito, na kama hukutembea nae tena toka siku zile, basi sio mwaminifu, kuna baba-nanii mtaa wa jirani alimrekebisha tabia!
Huh!
Quiz inaendelea: Usishangae mwezi ujao hiyo pregnancy test ikaja negative. Madaktari majibu plzzz.
BTW kwa nini hamtumii condom? Pregnancy test inaweza kuanza na jibu la positive lakini in 4 weeks kama tumbo halijajaa ukirudia test unaweza kupata negative. Lakini Bioline au Capillus HIV test ikishaanza na positive ni imekula kwako, itakuganda hadi kiama.
Duh! Bado kuna wasela wanamega bila ndomu. Sijamaliza kushangaa.
Hi /SsitersBrothers
Nina tatizo linanichanganya akili yangu.
Mnamo Tarehe 1 hadi 3 mwezi wa 4 2010 nilikuwa na my girlfrind wangu..
after one week akawa nahisi kuwa anaweza kuwa pregnant,ilipofika tarehe 23/3/2010 akapata period yake..lakin kama week moja iliyopita tummbo likaanza kumsumbua...kaka ake ambaye ni doctor akamshaur akapime pregnancy,juzi juma tatu amepima na ameonekana ni mja mzito.
Jaman naomben ushauri..is it posiible for a prgnant woman to get period in earlt pregnancy..?
Unashangaa nini kama wao ndio wameanzana? huoni hata maswali yenyewe?
Mnamo Tarehe 1 hadi 3 mwezi wa 4 2010 nilikuwa na my girlfrind wangu..
after one week akawa nahisi kuwa anaweza kuwa pregnant,ilipofika tarehe 23/3/2010 akapata period yake..l
Hi /SsitersBrothers
Nina tatizo linanichanganya akili yangu.
Mnamo Tarehe 1 hadi 3 mwezi wa 4 2010 nilikuwa na my girlfrind wangu..
after one week (11/04)?? akawa nahisi kuwa anaweza kuwa pregnant, ilipofika tarehe 23/3/2010 !!!??? akapata period yake.. (inaenda Kiarabu??) lakin kama week moja iliyopita tummbo likaanza kumsumbua...kaka ake ambaye ni doctor akamshaur akapime pregnancy,juzi juma tatu amepima na ameonekana ni mja mzito.
Jaman naomben ushauri..is it posiible for a prgnant woman to get period in earlt pregnancy..?