Daby
JF-Expert Member
- Oct 26, 2014
- 33,894
- 76,810
kwangu hii ni the best cut-up za cut-ups zote za Coke studio. Cassper sio wa mchezo ukisikiliza kazi zake za nyuma kwenye Album ya Tsholofelo utasema ni rapper ambaye kakosa stylistics na delivery.
kitu ambacho waliokuwa wanasema ni zaidi ya AKA na KO nilikuwa napingana nao. [Btw mimi ni shabiki wa AKA]. Cassper na Diamond kwa hii track wanahitaji credits kubwa.
Najua Africa kuna rappers wanafanya vizuri kama M.I, stanley eno, L.Tido, Ice prince and sark, ila jamaa anaupekee wake na bila kumsahau sarkodie.
Bongo kwa rap bado, labda wajichanganye kama diamond waambukizwe swaggas...
NB: Mziki ni ushabiki na kufurahishwa nafsi.
moyo wangu unaenda .....
She gives me joy, make my heart go....
kitu ambacho waliokuwa wanasema ni zaidi ya AKA na KO nilikuwa napingana nao. [Btw mimi ni shabiki wa AKA]. Cassper na Diamond kwa hii track wanahitaji credits kubwa.
Najua Africa kuna rappers wanafanya vizuri kama M.I, stanley eno, L.Tido, Ice prince and sark, ila jamaa anaupekee wake na bila kumsahau sarkodie.
Bongo kwa rap bado, labda wajichanganye kama diamond waambukizwe swaggas...
NB: Mziki ni ushabiki na kufurahishwa nafsi.
moyo wangu unaenda .....
She gives me joy, make my heart go....