My hubby amekua addicted na online social networking

cuckold - a man whose wife committed adultery
passyhold - a woman whose hubby is a cuckold
 
Rekebisha mama kabla sijachukua RB

nimekerebisha kabisa B....kwa post za mbele huoni tena hiyo faulo mzeee

Uko right.Anza sasa kumshauri kuwa anatakiwa kufunga ndoa kwanza ndio atumie neno Hubby.halafu hayo ya online friends ndio yafuatie.

sasa mbona umeshamshauri......mama Matesha na wewe!!!

Shikamoo my hubby!
Huyu iteitei ongea nae kichaga atakuelewa zaidi.

hahaaaaaa u are killing me leo
 
Sasa inakuwaje iteitei lya kite akamdeti husband wake for sometimes?
Anamaanisha they have been nanihii for quite some time and she feels kwa law of the land, washakuwa sweety halfs
 
Anamaanisha they have been nanihii for quite some time and she feels kwa law of the land, washakuwa sweety halfs

which law of ze land???

hamna kitu hapo mbona kw amaelezo yake haioneshi hata wame-cohabit
 

Hii avatar mm mwenyewe naona vitu vitatu hapo wewe ni yupi?
 
fidel huwezi kusoma alama za nyakati?huyu dada kamkumbatia mumewe toka safari,mumewe kaja na rafikie dada na shemejie wakawa wanakiss maana mke haruhusiwi kumkumbatia shemejie kwa hawa wenzetu feki au nakosema jameni?

Hii avatar mm mwenyewe naona vitu vitatu hapo wewe ni yupi?
 
Jamani si tubaki kwenye hoja mbona tunaenda Shinyanga tena?

wewe mwenyewe unatufanya tuende huko, wewe uliolewa na huyo hubby wako? ndoa ipi hiyo maana kwenye maelezo siioni mie ujue???

Bado hujajibu hoja zao....Jibu then tukanyage twende...Wakati unasema Hubby ulimaanisha????

lazima ulikunywa mbege asbh leo, akili si za kawaida
 
If he is ur BF..ignore him... life goes on ... dont give priority to someone whom you are just an option in his life...
 
lazima ulikunywa mbege asbh leo, akili si za kawaida
he he he yani upo sawa bibie...kuna thread mojaya Nguli nilivyoisoma ikabidi nikashtue kidogo...!!
 
wewe mwenyewe unatufanya tuende huko, wewe uliolewa na huyo hubby wako? ndoa ipi hiyo maana kwenye maelezo siioni mie ujue???



lazima ulikunywa mbege asbh leo, akili si za kawaida

wakwetu acha kabisa hiyo kitu si mchezo....
 
vuta subira mamaaa! akichoka atakurudia tu! hao wa online ni part time tu!
 
vuta subira mamaaa! akichoka atakurudia tu! hao wa online ni part time tu!
Pape acha utani.Hapo hakuna cha kuvumilia.Kama huyio si mume wake bado bado basi bora aanze njia mapema atafute watakayeaminiana kwani inaonyesha huyo jmaa keshamchoka.
Na kama ni mume wake basi atafute namna ya kujadili suala hilo na mumewe.pia na yeye mwenyewe achunguze sababu ya mumewe kuhangaika online.Akishindwa atafute ushauri wa wazee.
 
hivi kiteitei ni msichana au mvulana?

kastue na kitochi pale kwa mama sebereeee na wewe

hahaaaaa mwaya sijui hilo jina si la mgombani hivi ni la ki-HE au SHE?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…