My hubby amekua addicted na online social networking

ha ha ha haaaa, hili jina la Brigitta, bibi yangu hawezi kulitamka mpaka leo...analitamka BIRINGITA.
Please Briggita, help us in this kindumbwendumbwe...lakini hebu nijaribu hivi kweli sio MAHABUBA kwa kiswahili?
Umeanza uchokozi naona!
 
ha ha ha ha! mwanamke kafunika na mikono yake mbele mwanaume kafunika nyuma anyway they look funny

NB:

Siielewi jamani itei tei ni she/he? "My hubby amekua addicted na online social networking " title inajichanganya na maelezo ndani ya bandiko.
 

Vumilia tu, mbona wanawake mna sifa kubwa ya uvumilivu...??? kwa nini likushindinde hili dogo...?? hebu cheki hapo chini mwenzio jinsi alivyoweza........hayo yote yanafanywa na kidume halafu mwanamke anavumilia

ANAKUFUMANIA: Analia, ananyamaza, anasononeka, unambembeleza anakuelewa anakusamehe halafu anasahau!!!

UNAZAA NJE YA NDOA: Anasononeka na kulia sana. Anakuchukia lakini baadaye anakusamehe. Halafu analea mtoto uliyemzaa nje kwa upendo. Kama ni kuchukiwa atachukiwa mtoto, si wewe uliyefanya umalaya!

UNARUDI USIKU WA MANANE UKIWA MTUNGI: Anakukaribisha, anakuandalia chakula, unagoma kula. Anahifadhi chakula alichokuandalia bila manung'uniko.

UNAAMKA ASUBUHI NA MAHANGOVER: Anakuandalia staftahi (saa nyingine unagoma kutumia staftahi yake unakimbilia baa kwenda kunywa Supu na kuzimua. Wala halalamiki!

CHAKULA CHA USIKU: Ushapiga mtungi wako, unataka huduma. Unamrukia, hamna maandalizi unamuumiza. Anavumilia ili akuridhishe. Na kesho yake tena inaweza tokea hii; hana kinyongo!

UNAJIANDAA KWENDA KIBARUANI: Unakuta kashakuandalia viwalo, suruwale imenyooshwa kama ya askari trafiki, shati limepigwa pasi ya maana! Nguo ulizovua jana zimeshalowekwa tayari kwa kufanyiwa usafi! Ulichomuudhi jana kashasahau na kukusamehe!

UNAMPA UJAUZITO: Anauthamini, anautunza anajifungua kwa uchungu, mtoto anakuachia wewe umpe jina, la kwake halimo kabisa kwenye majina atakayotumia mtoto! Na pamoja na uchungu wa kuzaa, bado yuko radhi kukuzalia mtoto mwingine na mwingine tena!

Na mengine meeeeengi sana wanafanyiwa hawa watu lakini WANASAMEHE, WANAVUMILIA!

 
ha ha ha ha! mwanamke kafunika na mikono yake mbele mwanaume kafunika nyuma anyway they look funny

Hahahaha! Sasa naanza kupata picha kamili.
Ndio raha ya kukaa karibu na waseminaristi!
 
Bigi man! Please spare my ribs!

Biggie is Totally immersed in confusion!

Bigirita ameamua kunivunjia mbavu zangu mamushka!

basi biggy, subiri valuu ushtue.....
 
Hahahaha! Sasa naanza kupata picha kamili.
Ndio raha ya kukaa karibu na waseminaristi!

Pia angalia jicho la mwananmke linavyomdeku mbaba anaoneka anawasiwasi ka vile ameolewa na mmbakaji
 

Hehehehe! Kiongozi kwa hiyo umeamua ku-confirm kuwa Iteitei lya kitee ni MWANAMKE? Kanyaga twende!
 
ha ha ha haaaa, hili jina la Brigitta, bibi yangu hawezi kulitamka mpaka leo...analitamka BIRINGITA.
Please Briggita, help us in this kindumbwendumbwe...lakini hebu nijaribu hivi kweli sio MAHABUBA kwa kiswahili?
Tatizo Blode!! sio kivile sana kwangu!
wapwa mnamuona huyu, ntampa kitu inauma!!
 
ni SHE huyu just in case umesahau
hapo kwenye kukumbushana ndo nakupendeaga, unajua huwa tunasahau sasna baada ya mavaluu kibao.
sasa ngoja niuendee hewani ili tufundishane pronaunciation, halafu, ndo turudi kwenye hayo aliyoyataja hapo..MAHABA
 
ha ha ha haaaa, hili jina la Brigitta, bibi yangu hawezi kulitamka mpaka leo...analitamka BIRINGITA.
Please Briggita, help us in this kindumbwendumbwe...lakini hebu nijaribu hivi kweli sio MAHABUBA kwa kiswahili?
Siyo kosa lako
Kuna watu kama wewe (sijui mmesoma shule zipi) Huwa mnashindwa kusoma halafu ugonjwa huo unaamia kwenye vidole.
Unaona Invicible we unasoma na kutaipu invisible
Unaona Bigirita we unasoma na kutaipu Briggita

Sijui tatizo huwa linakuwa kwenye kukremu, kutoona au spelingi misteki kwenye kiibodi?
 
hapo kwenye kukumbushana ndo nakupendeaga, unajua huwa tunasahau sasna baada ya mavaluu kibao.
sasa ngoja niuendee hewani ili tufundishane pronaunciation, halafu, ndo turudi kwenye hayo aliyoyataja hapo..MAHABA

hapo muhimu kabla miundo mbinu haijaharibika
mkirudi kwenye blue ntakuwa mtazamaji tu......

hiyo hapo hebu i-pronaunce vizuri nisikie! ni ile inatokea tumboni au ile inatokea kooni? plz

hii kweli imetoka tumboni.....nikiwa nimeishiwa nguvu kabisaa
 
could it be semenya type?
 
hapo muhimu kabla miundo mbinu haijaharibika
mkirudi kwenye blue ntakuwa mtazamaji tu......



hii kweli imetoka tumboni.....nikiwa nimeishiwa nguvu kabisaa

Dr mbona mchokozi,
unaninanihii kichokozi
Kweli nitamaliza dozii
Mbona sina tena malaria!!

Something like that!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…