Binti Maringo
JF-Expert Member
- Jul 4, 2007
- 2,804
- 96
- Thread starter
-
- #61
unaona sasa.....demu mkali anauelewa wa mambo sio kujua ishu juu juu......where is Bellinda wa masanilo? ushamsoma?
.....ganja ina tatizo gani?
unaona sasa.....demu mkali anauelewa wa mambo sio kujua ishu juu juu......where is Bellinda wa masanilo? ushamsoma?
.....ganja ina tatizo gani?
Yo Yo hujakamata mzigo kwani teh teh teh tehe ana mdogo wake Bellies ongea nami vizuri!
Akamate mzigo wapi wakati yeye ujanja ni kwenye keyboard tu....zaidi ya hapo domo zege kaa kawekewa ulimbo....
Dogo anahitaji somo la jinsi ya kutema sumu....holla at me Yo Yo....
kwanza demu mkali lazima awe na aibu.....pili awe anachagua maneno ya kuandika au kuongea....tatu asiwe ana shout sio mikelele miingi.....hahaha kazi kweli kweli ...hiyo type zako za mademu wakali ni mazuzu....huwezi kuwa demu mkali alafu ukawa una-lala yesu tuu yo yo akisema na wewe useme yes sir!...no way jose....
Ningekuwa sijui tabia yako sawa ila i know you very well you are such a bully....little psychopathy and pathetic...I am animalist...a lionist a vision queen of sheba....if you mess with me i will make sure unakunya mavi yanaenda upande upande...
tehe tehe NN hachezi mbali na dadake ile kujua dadake ananikubali kaanza kuniua kichizi.....Oyaah shem tumekusikia...Unajua Bellies got special hugs and kisses which melts my heart like chocolate ice cream on a warm summer day....hana matusi ni malovee tu hahhahah Yo Yo hujakamata mzigo kwani teh teh teh tehe ana mdogo wake Bellies ongea nami vizuri!
kwanza demu mkali lazima awe na aibu.....pili awe anachagua maneno ya kuandika au kuongea....tatu asiwe ana shout sio mikelele miingi.....
tehe tehe NN hachezi mbali na dadake ile kujua dadake ananikubali kaanza kuniua kichizi.....
Cuppy wala usimize kichwa chako na huyu rasta farian wanna be...wee mtu mwenyewe alipo hapo tayari yupo high macho mekundu kwa kupuliza cheap ganja....ndiyo maana hata haeleweki....ameweka rasta kujifanya na yeye bob marley...nywele chafu zina chawa.
hahaha kazi kweli kweli ...hiyo type zako za mademu wakali ni mazuzu....huwezi kuwa demu mkali alafu ukawa una-lala yesu tuu yo yo akisema na wewe useme yes sir!...no way jose....
Ningekuwa sijui tabia yako sawa ila i know you very well you are such a bully....little psychopathy and pathetic...I am animalist...a lionist a vision queen of sheba....if you mess with me i will make sure unakunya mavi yanaenda upande upande...
kwanza demu mkali lazima awe na aibu.....pili awe anachagua maneno ya kuandika au kuongea....tatu asiwe ana shout sio mikelele miingi.....
Ukali wa lugha eh!! Hapo kwenye buluuu not so lady like.
mitihani gani ile shori alishaingia king wewe mbona unabana?wewe ulifeli mtihani....sasa kwa nini nikupe dadangu.....nilikwambia ukiacha mambo ya yuuuuuuuuuuuuuuuuuuu......nitaku-consider...
umeacha kuvaa kata k...au bado unaendeleza usoja boi?
mitihani gani ile shori alishaingia king wewe mbona unabana?
Hio post ni ajili yake muhusika kwa totozi kali mkuu siandiki namna hiyo...unaona sasa Yo Yo...hivi sivyo unavyoongea na demu....ndio maana unakuwa hupati
nanyuka mashuti kama iniesta......fanya fasta muda unavyokwenda nitaahirisha......ninachomsifia yule msukuma ana guu sio kama la kwenye avatarunaona sasa...huu ubishi wako ndo unakuponza
nanyuka mashuti kama iniesta......fanya fasta muda unavyokwenda nitaahirisha......ninachomsifia yule msukuma ana guu sio kama la kwenye avatar
wewe huo mjani unakuharibu akili kabisa maana unazidi kujiponza mwenyewe....nani mwenye akili timamu atakupa sista wake? bora hata ya mwanakijiji kuliko wewe
totozi kali hazipendi watu nale nale kama hujui....mie ngangari kauzu kauzu nacheza pele a'fu mie sina zile za kwenye video au kwenye hadithi za mwanakijiji.....wewe huo mjani unakuharibu akili kabisa maana unazidi kujiponza mwenyewe....nani mwenye akili timamu atakupa sista wake? bora hata ya mwanakijiji kuliko wewe
totozi kali hazipendi watu nale nale kama hujui....mie ngangari kauzu kauzu nacheza pele a'fu mie sina zile za kwenye video au kwenye hadithi za mwanakijiji.....
kwikwikwikwikwikwikwisasa mbona bado hujapata totoz? masanilo keshampata wake bellies....icadon anamega sasha fierce....balantanda yuko vekesheni na penny...steved najua naye alipata wake ila jina nimemsahau.....umebaki wewe na yournameismwizi....lol....ooh..oooh even mwanakijiji alikuwa akimega mwafrika wa kike....kuhani anamega mama.....lol...wewe umammega nani?